Musiba lazima ujue Membe ana wategemezi, wana haki ya kufungua mirathi na kukufilisi

Musiba lazima ujue Membe ana wategemezi, wana haki ya kufungua mirathi na kukufilisi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa umri wa Membe hatuwezi kusema kuwa amekufa mapema au ghafla, na hatuwezi kukihusisha na madai yake kwa Musiba.

Warithi wake wakiamua kuendelea kumkaba kohoni Musiba hawezi kuchomoka.

Musiba alikuwa mtoto aliyelelewa vibaya. Ni mithiri ya mtoto wa chief wa kijiji aliyewatukana wanakijiji waliompinga babanyake ili apate urithi wa hila wa mapema kwa baba yake.

Musiba ni kijana mpumbavu.
 
Bora kafyatuka,

hiyo Mzee wako hakuwa na faida YOYOTE ukiondoa utumishi KWENYE idala nyeti TU.
 
Nendeni msibani mnatuchosha na thread za kichawi chawi
 
Back
Top Bottom