Music makes us feel good

Music makes us feel good

 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Mm mziki ni sehemu muhimu sana katika maisha angu.....siwezi soma bila earphones kuwa katika masikio yangu tangu nasoma o level mpaka sasa nilitumia mziki na kuweza kufaulu necta tena kwa div 2........sababu kubwa ni mziki.........playlist angu ilikuwa na nyimbo za country na rnb na chache za hiphop ka dear mama ya tupac.........kiukweli mziki ni zawadi pekee kutoka kwa mungu baba.....vitamin music hunilaza unono
 
Back
Top Bottom