Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Hawakuwa na chuo, wakalalamika. Wakati wagalatia wanajenga vyuo, wao wanajenga misikiti, Mkapa akaamua kuingia serikalini akalitia hasara Shirika la Tanesco akawapora chuo kilichokuwa kinatoa utaalam wa umeme, akawapa bure.
Serikali haina dini, iache kuendekeza watu wajinga
 
Wakristo mna chuki sana waislamu,

Nashangaa sana waislamu ambao wana upendo na wakristo,wenzenu chuki zao ni zaidi ya hizo wanazozitamka mdomoni,mioyo yao imejaa chuki zidi yenu,

Bora sisi tusio na dini
Waislamu wapi wenye upendo na wakristo au unaandika kinyume
 
Kwanza ukiona mtu ameenda hiki chuo ujue amepata ufaulu wa chini sana. Hakuna chuo pale

Waislam wenyewe tu wanakikimbia, tunakutana nao huku kwenye vyuo vya ST.

Waislam na 'ilim dunya' wapi na wapi.. wew wambie mabikra 72 ndo wanachojua
 
Hongera kwa MUM chuo kiendelea kufikiria kimkakati hasa katika kutoa elimu bora itayowawezesha wahotimu kukabiliana na hali halisi ya dunia na kujikomboa kifikra na kiuchumi na sio kuwafunga wahotimu katika box la elimu isoyohitajika katika dunia ya leo,
 
Habari zenu, naona watu wanahusisha uislam na ugaidi
Mtu ajifunze nini maana ya uislam nini maana ya ugaidi, kisha ajifunze yale yaliyo ya kiislam na yale yaliyo ya kigaidi, baada ya hapo aje na hoja yakuhusisha ugaidi na uislam
Pia usilam siyo uarabu ila uislam umeshuka kwa jamii ya waarabu kutokana ya yale waliyokuwa wakiyafanya
 
Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).

NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
hii imejengwa na bakwata nafikiri au
 
Hizo sharia law labda usome kama option tu. Utaenda kuzi apply wapi katika nchi isiyoongozwa kwa sharia hizo? Labda kano, kaduna, zamfara, maiduguru huko kaskazini mwa nigeria kunakotekelezwa sheria hizo, mhitimu akaombe kazi huko
 
Ila kwa nini wanadai kwamba hata eneo la mitambo ya tanesco ni lao?
Sababu kile chuo kabla Mkapa hajawapa kilikuwa ni Chuo Cha TANESCO, hivyo baada ya kupewa wakaanza kudai na mitambo nayo waachiwe iendeshwe Kiislam.
Nyie kaeni kwa kusubiri kitakachoenda kutokea Coco beach. Ule Msikiti unaosemekana unajengwa pale ukishamalizika yataanzishwa madai namaandamano ya kutaka starehe na biashara zote zisizo za kiislam ziondolewe eneo lile sababu kuna Msikiti, so haiwezekana uzungukwe na biashara ya pombe, kamali, umalaya na starehe nyingine.
Eneo lote la Coco watu wataondolewa na patajengwa Islamic Mall.
 
Walikwambia wana shida ya "wateja"?

Anayeogopa neno Waislam, (Muslim, Uislam, Islam huyo ni shetani tu.

Sasa Mbona mnaamini Majini na kushirikiana nayo ??
Na mnasema hata Mtume M. s. A. W. Alifanya hivyo pia ?! 🤔🤔🤔
 
Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).

NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
Nina Imani chuo hiking hakina Ile tabia ya wakufunzi wa Mwecau!
 
Back
Top Bottom