Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Ni kwani mkapa alifanya hivi, je alifanya kwa hisani ya nani , haingii akili kabisa.
Know chukua mali za umma na kugeuza kuwa za Taasisi za keep dini
Aliamua awasaidie maana walikuwa wanalalamika sana Kila siku wanamlaumu Nyerere kuwa aliwaonea hawakupewa chance ya kusoma enzi hizo, japo ingekuwa kanisa limepewa taasisi ungeskia makelele ya mfumo kristo blah blah blah, na tangu wamepewa kipo vile vile no improvement 😄
 
Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).

NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
Sijui ni lini waislamu mtatenganisha dini na serkali.
 
Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).

NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
Dah,Karibu kwangu hapo na baba yake mwijaku mzee barton,
Iko ni chuo bora kwa ukanda huu
 
Waislamu wanaojielewa hawawezi kupeleka watoto kwenye vyuo wala shule za kiislamu wala shule. Hawajui chochote kule tofauti na kufundishana elimu za kukamia wakristo. Mtoto akihitimu anajua Quran tu vingine aaha!

Akitoka hapo labda aajiriwe na Hamas/Houth/Hezbollah etc
Wakristo mna chuki sana waislamu,

Nashangaa sana waislamu ambao wana upendo na wakristo,wenzenu chuki zao ni zaidi ya hizo wanazozitamka mdomoni,mioyo yao imejaa chuki zidi yenu,

Bora sisi tusio na dini
 
Waislamu wanaojielewa hawawezi kupeleka watoto kwenye vyuo wala shule za kiislamu wala shule. Hawajui chochote kule tofauti na kufundishana elimu za kukamia wakristo. Mtoto akihitimu anajua Quran tu vingine aaha!

Akitoka hapo labda aajiriwe na Hamas/Houth/Hezbollah etc
Duuuh! Mkuu aiseee
 
Wakristo mna chuki sana waislamu,

Nashangaa sana waislamu ambao wana upendo na wakristo,wenzenu chuki zao ni zaidi ya hizo wanazozitamka mdomoni,mioyo yao imejaa chuki zidi yenu,

Bora sisi tusio na dini
Wakristo wangekuwa hiki ulichoandika waislamu wangeona dunia ni sehemu ngumu ya kuishi. Ukumbuke taasisi za maana kuanzia afya ampaka elimu zinamilikiwa na wakristu au basi zinaendeshwa kwa influence ya wakristo. Kama wangewachukia waislamu wangepata taabu sana kupata huduma muhimu duniani humu.

Waislamu ndo wana moyo wa chuki kwa wakristo, wanawaonaga kama watu wasiofaa na wasiojua Mungu.
 
Mkuu hizo chuki mlizo hifadhi kwenye vifua vyenu dhidi ya waisilam zinatokana na nn hasa ?
Au waisilam walisha kuharibia kitu chako cha thamani maishani kwako maana hii ni chuki iliyo vuka mipaka.
Yaaani hapo kwenye huu uzi watu wa dini nyingine wana chuki kubwa sana waislamu! Shida sijajua nini?
 
Wakristo wangekuwa hiki ulichoandika waislamu wangeona dunia ni sehemu ngumu ya kuishi. Ukumbuke taasisi za maana kuanzia afya ampaka elimu zinamilikiwa na wakristu au basi zinaendeshwa kwa influence ya wakristo. Kama wangewachukia waislamu wangepata taabu sana kupata huduma muhimu duniani humu.

Waislamu ndo wana moyo wa chuki kwa wakristo, wanawaonaga kama watu wasiofaa na wasiojua Mungu.
Lete ushahidi kwamba waislamu wanawachukia wakristo
 
Back
Top Bottom