Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Muslim University of Moro: Centre of Excellence!

Waislamu wanaojielewa hawawezi kupeleka watoto kwenye vyuo wala shule za kiislamu wala shule. Hawajui chochote kule tofauti na kufundishana elimu za kukamia wakristo. Mtoto akihitimu anajua Quran tu vingine aaha!

Akitoka hapo labda aajiriwe na Hamas/Houth/Hezbollah etc
Hivi hizi chuki dhidi ya waisilam zilizo jaa vifuani mwenu huwa zinatokana na nini hasa?
Mbona huku mitaani watu tunaishi vizuri kwa ushirikiano na upendo bila kujali dini zetu ?
Cha kushangaza zaidi waweza kuta una ndugu wa damu waisilam dah.
 
Nakuoa ndo nn sasa embu jifunze kuandika vizuri kwanza miwani ishaisha lens iyo we ajuza

Kwenye Uislamu kuna baitul Mali wala hakuna islamic banking
Twambie iyo islamic banking ipo katika misingi ipi ya Uislamu?

Twende kielimu usilete porojo
Wacha uongo, Uislam wapi umekataza Islamic Banking ?

Au una msahafu wako mwenyewe ambao wengine hatuna?
 
Waislamu wanaojielewa hawawezi kupeleka watoto kwenye vyuo wala shule za kiislamu wala shule. Hawajui chochote kule tofauti na kufundishana elimu za kukamia wakristo. Mtoto akihitimu anajua Quran tu vingine aaha!

Akitoka hapo labda aajiriwe na Hamas/Houth/Hezbollah etc
Wewe unayejiona unajielewa umefanya lipi la maana mpaka sasa?
 
Mxiuuuuu! Tangu lini taasisi ya elimu inayoendeshwa na waislam ikawa center of excellence?? Labda iwe center for terrorists.
Mkuu hizo chuki mlizo hifadhi kwenye vifua vyenu dhidi ya waisilam zinatokana na nn hasa ?
Au waisilam walisha kuharibia kitu chako cha thamani maishani kwako maana hii ni chuki iliyo vuka mipaka.
 
Katika Ulimwengu Civilized kama Huu kuwa na Institutions zenye misimamo Mikali kama MuM ni hatari sana kwa Usalama wa Nchi, Hao MuM wana Sheria zako kali sana na ziko applied kwa makundi yote regardless mtu ni wa Imani gani
 
Wacha uongo, Uislam wapi umekataza Islamic Banking ?

Au una msahafu wako mwenyewe ambao wengine hatuna?
Huna ulijualo we ajuza kelele nyingi kalee wajukuu tu

Bora niishie hapa mna huna content zaidi ya ubishi na kuendekeza matamanio ya nafsi yako
 
Katika Ulimwengu Civilized kama Huu kuwa na Institutions zenye misimamo Mikali kama MuM ni hatari sana kwa Usalama wa Nchi, Hao MuM wana Sheria zako kali sana na ziko applied kwa makundi yote regardless mtu ni wa Imani gani
Izo sheria zinashinda zile skuli za kikristo?
 
Usidanganyike.
. Uislam upo kwenye maisha yetu yote ya kila siku.

Uislam ni nfumo kamili wa naisha. Usidanganyike kuwa sijui hapa kuna Uislam hapa hakuna.

Ambavyi vinakatazwa kwenye Uislam vipo wazi kabisa, huwezi wewe kuleta makatazo mapya, labda ukawadanganye kijijini kwenu huko, kama hakuna wasomi.
Hivi siku hizi mbona unaandika na makosa mengi? Au akaunti inatumiwa na mtu mwingine?
 
Huna ulijualo we ajuza kelele nyingi kalee wajukuu tu

Bora niishie hapa mna huna content zaidi ya ubishi na kuendekeza matamanio ya nafsi yako
Wapi umejifunza ni haramu kuwa na Islamic Banking?
. Uislam hauna kukisia tu. Uislam siyo "blind faith".
 
Usidanganyike.
. Uislam upo kwenye maisha yetu yote ya kila siku.

Uislam ni nfumo kamili wa naisha. Usidanganyike kuwa sijui hapa kuna Uislam hapa hakuna.

Ambavyi vinakatazwa kwenye Uislam vipo wazi kabisa, huwezi wewe kuleta makatazo mapya, labda ukawadanganye kijijini kwenu huko, kama hakuna wasomi.
NAISHA-MAISHA
NFUMO-MFUMO
AMBAVYI-AMBAVYO
 
Usidanganyike.
. Uislam upo kwenye maisha yetu yote ya kila siku.

Uislam ni nfumo kamili wa maisha. Usidanganyike kuwa sijui hapa kuna Uislam hapa hakuna.

Ambavyo vinakatazwa kwenye Uislam vipo wazi kabisa, huwezi wewe kuleta makatazo mapya, labda ukawadanganye kijijini kwenu huko, kama hakuna wasomi.
Porojo za Kila siku mfumo mfumo 🤣🤣
 
Waislamu wanaojielewa hawawezi kupeleka watoto kwenye vyuo wala shule za kiislamu wala shule. Hawajui chochote kule tofauti na kufundishana elimu za kukamia wakristo. Mtoto akihitimu anajua Quran tu vingine aaha!

Akitoka hapo labda aajiriwe na Hamas/Houth/Hezbollah etc
We jamaa nimecheka sana aisee kwamba aajiriwe na Hamas duh. Kuna ukweli hapo ila mpaka uwe mkristo na msomi ndio utaelewa
 
Tumshukuru hayati Rais ,, BWM, Benjamin William Mkapa, kuwanyang'anya shirika la Tanesco chuo Chao pale Msanvu Morogoro na kuwapa waislam bure chuo kilichojengwa kwa Kodi na bill za umeme za watanzania wote mpaka wagalatia,,, na Mkapa alikuwa mgalatia safi ila hakuwa mdini.
Mkapa alijua kanisa limetafuna hazina kiasi gani,akaona haya
 
Back
Top Bottom