Serikali haina dini, iache kuendekeza watu wajingaHawakuwa na chuo, wakalalamika. Wakati wagalatia wanajenga vyuo, wao wanajenga misikiti, Mkapa akaamua kuingia serikalini akalitia hasara Shirika la Tanesco akawapora chuo kilichokuwa kinatoa utaalam wa umeme, akawapa bure.
Waislamu wapi wenye upendo na wakristo au unaandika kinyumeWakristo mna chuki sana waislamu,
Nashangaa sana waislamu ambao wana upendo na wakristo,wenzenu chuki zao ni zaidi ya hizo wanazozitamka mdomoni,mioyo yao imejaa chuki zidi yenu,
Bora sisi tusio na dini
Harvard na Oxford Kwa MUM wanasubiri sana
hii imejengwa na bakwata nafikiri auChuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).
NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
Sababu kile chuo kabla Mkapa hajawapa kilikuwa ni Chuo Cha TANESCO, hivyo baada ya kupewa wakaanza kudai na mitambo nayo waachiwe iendeshwe Kiislam.Ila kwa nini wanadai kwamba hata eneo la mitambo ya tanesco ni lao?
"Let us be fundamentalists, but not terrorists" Imam KhomeinUislam = Ugaidi
Walipewa bure na mhe Benjamin William Mkapa. Kilikuwa chuo cha serikali cha shirika la umeme Tanesco wakanyang'anywa wakagawiwa Kobazhii imejengwa na bakwata nafikiri au
Walikwambia wana shida ya "wateja"?
Anayeogopa neno Waislam, (Muslim, Uislam, Islam huyo ni shetani tu.
Nina Imani chuo hiking hakina Ile tabia ya wakufunzi wa Mwecau!Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).
NB: Asante MUM kutupa elimu vijana