Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wewe itakuwa ndo umemfanyia Mwalimu Mary hayo mauzauza.Sasa visa, vimbwanga na mauzauza yamkute Mwalimu Mary, kutetemeka uje kutetemeka wewe... wapi na wapi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe itakuwa ndo umemfanyia Mwalimu Mary hayo mauzauza.Sasa visa, vimbwanga na mauzauza yamkute Mwalimu Mary, kutetemeka uje kutetemeka wewe... wapi na wapi!!
Mstaafu ni mwongo huyo! Ametumia pensheni yote kujenga nyumba ya kuishi na hela itakuwa imekata, anachokifanya ni kutafuta sababu auze hiyo nyumba apate pesa bila kustukiwa na family
Uwezijua hili jambo moyo wake umelipokea vipi!!! Wewe umesoma yeye kaonaAcha utoto basi.. unatetemeka nini sasa?
Siyo Ryamlimi ni Rwamlimi mitaa yangu hiyo na shule yanguFAMILIA moja ya Mwalimu Mstaafu katika mtaa wa Morembe kata ya Bweri, Musoma mjini imelazimika kuhama katika nyumba iliyokuwa ikiishi kutokana na visa mfululizo vya wanyama wakali kama nyoka, Simba, Chui na hata moto wa ajabu unaoteketeza vitu vya ndani.
Mwalimu Mary Warioba alistaafu utumishi mwaka jana akiwa akifundisha katika Shule ya Msingi Ryamrimi nakuamua kujenga nyumba yakustiri familia
Atakuwa amejenga sehemu ambayo ilikuwa ndio kijiwe pendwa cha wachawi . Tunaponunua viwanja tujaribu kupeleleza sana historia ya eneo kabla ya kununua.FAMILIA moja ya Mwalimu Mstaafu katika mtaa wa Morembe kata ya Bweri, Musoma mjini imelazimika kuhama katika nyumba iliyokuwa ikiishi kutokana na visa mfululizo vya wanyama wakali kama nyoka, Simba, Chui na hata moto wa ajabu unaoteketeza vitu vya ndani.
Ahsante mwanazuoni...vp kuhusu hayo majoka na masimba na machui na hizo nnya wanazozikuta kitandani na kwenye chakula.........???? hapo kuna kuwa na concentration ya nin mkuu.....[emoji849]mwanazuoni nipo hapa kutolea ufafanuz wa hilo jambo
kutokea kwa moto mara kwa mara sio uchawi wala nin tatizo ni kwamba pale mtumish alipojenga palikua na either concentration of methane gas kutokana na mgandamizo wa taka au mbolea au pale chin kuna movement of molten materials 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
achen kuamini uchawiiiiii
Nani atanunua hilo balaa?Mstaafu ni mwongo huyo! Ametumia pensheni yote kujenga nyumba ya kuishi na hela itakuwa imekata, anachokifanya ni kutafuta sababu auze hiyo nyumba apate pesa bila kustukiwa na family
Mkuu unakumbukumbu ha ha ha ha haKuna member Humu jf anaitwa Kitoabu mzee wa kumwekua mwekua!!Yeye ana mganga wake ambae ana dawa ya kuua wachawi!!amtafute huyu member!!!
Swali zuri!ahsante mwanazuoni...vp kuhusu hayo majoka na masimba na machui na hizo nnya wanazozikuta kitandani na kwenye chakula.........???? hapo kuna kuwa na concentration ya nin mkuu.....[emoji849]
mwanazuoni nipo hapa kutolea ufafanuz wa hilo jambo
kutokea kwa moto mara kwa mara sio uchawi wala nin tatizo ni kwamba pale mtumish alipojenga palikua na either concentration of methane gas kutokana na mgandamizo wa taka au mbolea au pale chin kuna movement of molten materials 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
achen kuamini uchawiiiiii
Story za kusadikika. Wanaoamini wajinga kama mtunzi wake.
Mstaafu ni mwongo huyo! Ametumia pensheni yote kujenga nyumba ya kuishi na hela itakuwa imekata, anachokifanya ni kutafuta sababu auze hiyo nyumba apate pesa bila kustukiwa na family
Elimu ya dunia ni pana zaidi.....FAMILIA moja ya Mwalimu Mstaafu katika mtaa wa Morembe kata ya Bweri, Musoma mjini imelazimika kuhama katika nyumba iliyokuwa ikiishi kutokana na visa mfululizo vya wanyama wakali kama nyoka, Simba, Chui na hata moto wa ajabu unaoteketeza vitu vya ndani.
Hahaha, kuna nyumba moja mkoa fulani, ni hizi za kununua zimeshajwangwa hata huju mtu aliifanyia nini, ilifika kipindi watu wakienda kulala sebuleni na jikoni watu wanazungukazunguka na hawajui ni watu gani, baadaye wakiacha vyakula jikoni vimeliwa. ilikuja kufika kipindi wakanza kuona mavi ndani tena mengi na bado ya moto hahaha, mengi kiasi kwamba hata wakazi wa nyumba hiyo wangekunya yasingekuwa mengi hivo....hahaha. kuna maajabu sana hapa duniani, uchawi na sheteni vipo.FAMILIA moja ya Mwalimu Mstaafu katika mtaa wa Morembe kata ya Bweri, Musoma mjini imelazimika kuhama katika nyumba iliyokuwa ikiishi kutokana na visa mfululizo vya wanyama wakali kama nyoka, Simba, Chui na hata moto wa ajabu unaoteketeza vitu vya ndani.