Wallah, katetemeka kikweli kweli huyo...Ana utani huyo mkuu
Msamehe bure.
Just imagine, umetoka kwenye pilika, unarudi ghetto unakuta joka lipo kwenye kiti huku linakodolea JF kwenye laptop!
Eti Mkuu Song of Solomon, si ulikuwa unatetemeka ki ukweli ukweli, si eti 😅😅?!
Oh! Kumbe imeandikwa na Editha!