maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,073
Mzee wa Msumbuji sioKuna member Humu jf anaitwa Kitoabu mzee wa kumwekua mwekua!!Yeye ana mganga wake ambae ana dawa ya kuua wachawi!!amtafute huyu member!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa Msumbuji sioKuna member Humu jf anaitwa Kitoabu mzee wa kumwekua mwekua!!Yeye ana mganga wake ambae ana dawa ya kuua wachawi!!amtafute huyu member!!!
Ni mjinga gani huyo atakayenunua kitu kama nyuma kijinga hivyo?.Kama bado wako watu wa hivyo basi afrika wajinga hawawezi kuisha.Mstaafu ni mwongo huyo! Ametumia pensheni yote kujenga nyumba ya kuishi na hela itakuwa imekata, anachokifanya ni kutafuta sababu auze hiyo nyumba apate pesa bila kustukiwa na family
Jumbe Brown the man himself nakukubali ana mkuu sema uccm unakuvunjia sana heshima yakoElimu ya dunia ni pana zaidi.....
Mwalimu huyo asaidiwe mawazo ya kupatiwa ufumbuzi na INAWEZEKANA........
Nashangaa kuna mapopoma humu yanabisha hakuna uchawihahaha, kuna nyumba moja mkoa fulani, ni hizi za kununua zimeshajwangwa hata huju mtu aliifanyia nini, ilifika kipindi watu wakienda kulala sebuleni na jikoni watu wanazungukazunguka na hawajui ni watu gani, baadaye wakiacha vyakula jikoni vimeliwa. ilikuja kufika kipindi wakanza kuona mavi ndani tena mengi na bado ya moto hahaha, mengi kiasi kwamba hata wakazi wa nyumba hiyo wangekunya yasingekuwa mengi hivo....hahaha. kuna maajabu sana hapa duniani, uchawi na sheteni vipo.
Kuna watu wajinga sanaWe na hako kaelimu chako cha form six unajitia kupinga uchawi??
Ati uchawi hakuna!!! Weweee!!!
Sasa Uzinzi umeingiaje apo sasa mkuu?Mkuu ili Dunia iitwe Dunia ukamilifu wake nilazima mambo kama hayo ya wepo, uchawi husuda wizi uzinzi wivu tamaa rohambaya nk, Dunia siyo sehemu salama Tena
Siku utakapokuja kulogwa usote hadi suriali iishe makalio ndio utajua uchawi upo. Kama unaamini Mungu yupo unatakiwa kuamini pia kuwa shetani yupo na ni real.Mimi bado siaminii....Jana usiku kama saa nane hivi nilisikia purukushani za mtu kutembea mwendo wa kunyata nilipochungulia dirishani nilimwona jirani yangu akiwa uchi wa mnyama anatembea....
Mimi nikaaamua kulala zangu nikidhani labda amepatwa na mchanganyikio wa usingizi...
🤣🤣🤣Asante kwa compliment mkuu.....nikubali kwa yale yasiyokuudhi 😜Jumbe Brown the man himself nakukubali ana mkuu sema uccm unakuvunjia sana heshima yako
Nimekupata mkuu wangu[emoji120][emoji112][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante kwa compliment mkuu.....nikubali kwa yale yasiyokuudhi [emoji12]
CCM ni bahari mkuu....ina mazuri na mabaya yake.....uzuri wa chama hiki hakimlazimishi mtu kuwa mwanachama mkuu wangu so kuwa na amani komredi wangu!!!
[emoji106]
Sasa visa, vimbwanga na mauzauza yamkute Mwalimu Mary, kutetemeka uje kutetemeka wewe... wapi na wapi!!
Shukraan mkuu wangu 🙏Nimekupata mkuu wangu[emoji120][emoji112]
Mi nimeuliza tu Darlin...Ukorofi huo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nimeuliza tu Darlin...
Hivi kweli?!