Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.

View attachment 2502651
Ndiyo aina ya viongozi tulio nao
 
Jamani hizo Uniform za pink rangi ya malavi davi kuna kusoma hapo! Nawaomba uongozi wa shule wawashonee Uniform za rangi nyingine kama vile khaki, blue, kijani au hata kijivu...
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.

View attachment 2502651
Yan hao jamaa wamekaa kabisa wakaafikiana kwenda kuzawadia kengele? Akili za Jiwe hizi😃
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.

View attachment 2502651
KENGERE ya RIM ya ISUZU ETI ya Kisasa
 
Tatizo sio huyo Mbunge shida ipo kwa hao wananchi. Huwa najiuliza sana inakuwaje mtu una akili timamu unamchagua Kumbilamoto, Kibajaj, Msukuma, Babutale na MwanaFA ni upuuzi sana kuongozwa na hawa viumbe na uwendawazimu wa kiwango kikubwa sana. Mtu kaenda kuokota Rim la Fusso analeta zawadi.
 
.Tatizo sio kupeleka zawadi ya kengele, tatizo ni hiyo media coverage, was it necessary? Yani unarecord tukio kisa rim ya gari?
Yaani Kuna vitu Hawa politicians wa hii nchi wanafanya unabaki kukosa majibu.
 
Back
Top Bottom