Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo aina ya viongozi tulio naoKatika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.
View attachment 2502651
certified f..lHebu imagine anazungumzia Ngedere na Tumbili wawe na uzazi wa mpango
Halafu anasubiriwa na watoto kwa shangwe huyo[emoji2827][emoji24]
Haichekeshi INATISHA
Yan hao jamaa wamekaa kabisa wakaafikiana kwenda kuzawadia kengele? Akili za Jiwe hizi😃Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.
View attachment 2502651
KENGERE ya RIM ya ISUZU ETI ya KisasaKatika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.
View attachment 2502651
Tatizo sio kupeleka zawadi ya kengele, tatizo ni hiyo media coverage, was it necessary? Yani unarecord tukio kisa rim ya gari?😳😳😳Aisee!wonders shall never cease!
Yaani Kuna vitu Hawa politicians wa hii nchi wanafanya unabaki kukosa majibu..Tatizo sio kupeleka zawadi ya kengele, tatizo ni hiyo media coverage, was it necessary? Yani unarecord tukio kisa rim ya gari?
No wonder, wanasiasa wengi ukimsimamisha mbele ya watu hawezi kujielezea kwa ufasaha.Yaani Kuna vitu Hawa politicians wa hii nchi wanafanya unabaki kukosa majibu.