Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tena inalizaHebu imagine anazungumzia Ngedere na Tumbili wawe na uzazi wa mpango
Halafu anasubiriwa na watoto kwa shangwe huyo[emoji2827][emoji24]
Haichekeshi INATISHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena inalizaHebu imagine anazungumzia Ngedere na Tumbili wawe na uzazi wa mpango
Halafu anasubiriwa na watoto kwa shangwe huyo[emoji2827][emoji24]
Haichekeshi INATISHA
Huyo binti hataki kucheka tu hyo zawadiKatika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari, kwa ajili ya kutumika shuleni hapo.
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo.
View attachment 2502651
Huenda Watoto wamezowea kengele yenye mlio wa hilo rim la tairi,ikipigwa Electric bell wanaweza kukimbia kwenda Majumbani kwao.Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe electric bell/alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Mgeni rasmi huyooo..😂😂😂tena
Ili watoto wawahi shule na vipindi vienende kwa mapigo ya kengele.Yupo akay but not alright!Katisha sana.Ni mbunge wa chama gani tuichambue akili yake?😜😜😜😜😜
Hapa tunajadili kengele ndugu.Ila majengo ya hiyo shule yapo vizuri sana
Nilikwenda Ujerumani hivi karibuni, nikatembelea kanisa fulani. Mwenyeji wangu alinitembeza humo kanisani, kitu alichojivunia sana ni kengele iliyo tundikwa kwenye mnara wa hiyo kanisa - ina uzito wa Tani moja na inapigwa na watu watatu wanao vuta kamba ndani ya chumba mahasusi kwa kazi hiyo kila jumapili asubuhi au wakati wa siku muhimu kwa kanisa hilo.
Hivyo, hiyo rimu ya Gari inafaa sana kwa ajili ya kengele ya shule - ina mlio mkali unao fika mbali. Hivyo itatoa na faida kubwa kwa wakazi wa karibu na shule, kusaidia kushiriki katika kuwawajibisha walimu na wanafunzi (mlio wa kengele ya rimu). Pongezi kwa walio liona hilo na kutoa msaada huo. Na wewe kama unayo rimu chakavu hapo nyumbani, usiipeleke kuiuuza kwa vyuma chakavu - donate it to any school. Haimalizi LUKU!
Tatizo hayana walimuIla majengo ya hiyo shule yapo vizuri sana
😳😳😳Aisee!wonders shall never cease!
Ila ccm ina dharau sana 😂😂😂View attachment 2502669View attachment 2502770
Timekeeper kasimama kwa heshma na taadhima huku kashikilia chuma lake la kugongea Kengele...! Hatari sana.