The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Hahah mkuuKatika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .
View attachment 2502651
Hapo rim la gari ungemalizia na "CHAKAVU"