Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wanataka misururu ya magari barabarani ikatazwe kupita kabla yao.Kusimama na kumsubiri mtu sampuli hiyo ni zaidi ya gharika.Tujisahihishe tulipokosea na kutubu.Kweli kabisa
FIkiria mnamsubiri kiongozi alafu anawajia na huo mchuma