Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Make hapo kwanza ncheke.

MHKN0.jpg
 
This is the degree of selfishness ambayo watanzania tunayo.

Kweli katika laki 3 za posho anazochukua kila siku kwa mwezi mzima ameshindwa kuwa smart akatoa laki 3 moja kununua kengele ya umeme ile na kuwapa uongozi wa shule laki 2 kwa ajili ya kui setup?

Unaleta rim ya canter sijui coaster shule kwa mbwembwe kujidai umetoa zawadi. Thats a serious Joke!!!

Hivi mtu kama huyu hata familia anatunza kweli kwa akili hizi? 🤣
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .

View attachment 2502651
huyu dogo Alie vaajuba atazeeka vibaya sana.hiyo sura🤣
 

sema zamani kipindi nasoma tulikuwa na Karim ketu shuleni kakigongwa kanalia hakoo.kwanfano ukiwa gongolamboto halafu ukigonga alieko pugu Kona anakasikia🤣🤣hapo nimwendo wakukimbia tuu kuwahi namba
 
Back
Top Bottom