Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Hatari sana kiongozi...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Ili watoto wawahi shule na vipindi vienende kwa mapigo ya kengele.Yupo akay but not alright!Katisha sana.Ni mbunge wa chama gani tuichambue akili yake?😜😜😜😜😜
Kama bado tunajengewa vyoo vya shule na mashirika ya kimataifa, nini cha ajabu hapa?
Napendelea nduguze ndege warukao pamoja watutajie.Naamini hawatataja wabaki na majibu kwenye shingo zao.Tazama jezi mkuu...!
Mwenyekiti Wa Ccm Taifa Hao Ndiyo Wabunge Wa Kuwakata Chap
Kukiondolea Chama Aibu!!
Hilo Rim La Gari Ambalo Ameliokota Ndiyo Msaada Kwa Shule
Ambapo Ukienda Vyuma Chakavu Wanaweza Kutoa Kengele Kila Darasa
Africa hata wafu uwa hawapati amani uko waliko.
Kwani uongo CCM haijatoa zawadi ya rimu ya gari hapo shuleni! Sasa sijui headteacher atakuwa analifungia ofisini kwake kwa sababu watoto wa mjini lazima wasepe nalo na kuliuza kama chuma chakavu!Siasa za kijinga hizo wewe, hapo mwenyewe unajiona umeikomoa ccm
Katoa rim 😆
Viongozi wetu wana masikhara sanaHatari sana mzee baba. Noma...!
Viongozi wetu wana masikhara sana
Uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo. Bora angekabidhi Kwa siri.Mambo mengine ni aibu..
Hata kuwaita viongozi haifai.Kuna maneno hayafai kuandika.Viongozi wetu wana masikhara sana
Ni kabisa mkuu...!Hata kuwaita viongozi haifai.Kuna maneno hayafai kuandika.
Kweli kabisaHata kuwaita viongozi haifai.Kuna maneno hayafai kuandika.