Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Nadhani kuna haja ya kuifungua akili yetu kiasi.
Najua kuna shule zina changamoto ya kukosa kengele, na kwa hatua ya maisha tuliyonayo bado rim za magari zitaendelea kutumika hata miaka na miaka (hilo siyo tatizo).

Hata kama ingekuwa mwalimu wa shule husika ameomba asaidiwe kupata kengele, kuna mantiki gani kwa hiki kilichofanyika?

Ikishindikana sana tuazime hata akili za Anthony Mtaka halafu hizi zingine tupeleke workshop hadi zikae sawa.
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .

View attachment 2502651
Kwahio Rim ya Canter ndio kengele ya kisasa 🤣🤣🤣?!

Siku ikiletwa ile ya umeme itaitwaje sasa?
 
Wametisha sana.Waandikiwe barua ya shukrani kwa uzalendo,ubunifu,kutojikweza,huruma,moyo wa kugawana mema ya nchi na huba kubwa walioonesha kwa uongozi wa shule,walimu wote na jumuiya ya wanafunzi.
 
Back
Top Bottom