Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

Musoma: CCM yaizawadia Shule kengele ya Kisasa

This is the degree of selfishness ambayo watanzania tunayo.

Kweli katika laki 3 za posho anazochukua kila siku kwa mwezi mzima ameshindwa kuwa smart akatoa laki 3 moja kununua kengele ya umeme ile na kuwapa uongozi wa shule laki 2 kwa ajili ya kui setup?

Unaleta rim ya canter sijui coaster shule kwa mbwembwe kujidai umetoa zawadi. Thats a serious Joke!!!

Hivi mtu kama huyu hata familia anatunza kweli kwa akili hizi? 🤣

Inafikirisha sana mkuu...! Acha tu.
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .

View attachment 2502651
CCM inaumwa
 
Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe electric bell/alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Ya Tsh 22,000/= kwenye chuma chakavu maana hiyo bei hilo rim wanakupimia kwa Kg.

Ila kupitia picha kama hizi tunaweza kujua namna Tanzania kulivyokuwa bado na jamii duni kiasi kupewa rim scraper kwa ajili ya kengele ya shule kunaweza kuonekana kama sherehe.
 
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .

Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .

View attachment 2502651
Nilikwenda Ujerumani hivi karibuni, nikatembelea kanisa fulani. Mwenyeji wangu alinitembeza humo kanisani, kitu alichojivunia sana ni kengele iliyo tundikwa kwenye mnara wa hiyo kanisa - ina uzito wa Tani moja na inapigwa na watu watatu wanao vuta kamba ndani ya chumba mahasusi kwa kazi hiyo kila jumapili asubuhi au wakati wa siku muhimu kwa kanisa hilo.
Hivyo, hiyo rimu ya Gari inafaa sana kwa ajili ya kengele ya shule - ina mlio mkali unao fika mbali. Hivyo itatoa na faida kubwa kwa wakazi wa karibu na shule, kusaidia kushiriki katika kuwawajibisha walimu na wanafunzi (mlio wa kengele ya rimu). Pongezi kwa walio liona hilo na kutoa msaada huo. Na wewe kama unayo rimu chakavu hapo nyumbani, usiipeleke kuiuuza kwa vyuma chakavu - donate it to any school. Haimalizi LUKU!
 
Ulienda Ujerumani na ulichojifunza ni kuwa rimu ya gari ni kengele nzuri!
Poor you.
Nilikwenda Ujerumani hivi karibuni, nikatembelea kanisa fulani. Mwenyeji wangu alinitembeza humo kanisani, kitu alichojivunia sana ni kengele iliyo tundikwa kwenye mnara wa hiyo kanisa - ina uzito wa Tani moja na inapigwa na watu watatu wanao vuta kamba ndani ya chumba mahasusi kwa kazi hiyo kila jumapili asubuhi au wakati wa siku muhimu kwa kanisa hilo.
Hivyo, hiyo rimu ya Gari inafaa sana kwa ajili ya kengele ya shule - ina mlio mkali unao fika mbali. Hivyo itatoa na faida kubwa kwa wakazi wa karibu na shule, kusaidia kushiriki katika kuwawajibisha walimu na wanafunzi (mlio wa kengele ya rimu). Pongezi kwa walio liona hilo na kutoa msaada huo. Na wewe kama unayo rimu chakavu hapo nyumbani, usiipeleke kuiuuza kwa vyuma chakavu - donate it to any school. Haimalizi LUKU!
 
CCM inaumwa
[emoji1][emoji1][emoji1]
Sipendi siasa ila hawa jamaa wagonjwa
Kuna mwingine bungeni anasema upandaji wa miti umesababisha Ngedere na Tumbili wajae na kula mazao yao halafu eti hawana uzazi wa mpango

Hebu imagine anazungumzia Ngedere na Tumbili wawe na uzazi wa mpango
Halafu anasubiriwa na watoto kwa shangwe huyo
 
Back
Top Bottom