Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
This is the degree of selfishness ambayo watanzania tunayo.
Kweli katika laki 3 za posho anazochukua kila siku kwa mwezi mzima ameshindwa kuwa smart akatoa laki 3 moja kununua kengele ya umeme ile na kuwapa uongozi wa shule laki 2 kwa ajili ya kui setup?
Unaleta rim ya canter sijui coaster shule kwa mbwembwe kujidai umetoa zawadi. Thats a serious Joke!!!
Hivi mtu kama huyu hata familia anatunza kweli kwa akili hizi? 🤣
Inafikirisha sana mkuu...! Acha tu.