Musonda: Mfahamu mshambuliaji hatari kutua Yanga wiki ijayo

Musonda: Mfahamu mshambuliaji hatari kutua Yanga wiki ijayo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na Power Dynamos kumsajili mshambualiaji hatari Kennedy Musonda kwa ada ya uhamisho wa Dollar laki moja sawa na shillingi milion 230 na Kennedy anatarajiwa kuwasili nchini wiki ijayo kujiunga na Yanga, Kitenge (2023).

Sifa za huyu mwamba;

~ Unaambiwa huyu mwamba ni halland mtupu kwenye nafasi Tano anakufunga magoli manne

~ Huyu Mwamba hafai alishawai kupiga penati kwa kichwa na akafunga. Kuna kipindi aliwavisha makanzu mabeki wanne alipofika kwa kipa akafumba macho na akafunga goli. Hapa upande wa pili ubingwa ndo wameuaga rasmi.

NB: Time Will tell [emoji120][emoji120].
1673084218082.jpg
 
Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na Power Dynamos kumsajili mshambualiaji hatari Kennedy Musonda kwa ada ya uhamisho wa Dollar laki moja sawa na shillingi milion 230 na Kennedy anatarajiwa kuwasili nchini wiki ijayo kujiunga na Yanga, Kitenge (2023).

Sifa za huyu mwamba;

~ Unaambiwa huyu mwamba ni halland mtupu kwenye nafasi Tano anakufunga magoli manne

~ Huyu Mwamba hafai alishawai kupiga penati kwa kichwa na akafunga. Kuna kipindi aliwavisha makanzu mabeki wanne alipofika kwa kipa akafumba macho na akafunga goli. Hapa upande wa pili ubingwa ndo wameuaga rasmi.

NB: Time Will tell [emoji120][emoji120].View attachment 2471928

Hi sredi ungeandika kwa 'mwandiko mkubwa' ningesema wewe ni Genta 😂
 
Tunamuuza Fei milioni 400,tunalipa na chenji kibao
Aaaah hapana mkuu ... feitoto ameyakanyaga hatumuuzi Bali atasugua bench up to end of season [emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom