Mussa Mangu ashinda rufaa ya kupinga kunyongwa kwa mauaji ya Erasto Msuya

Mussa Mangu ashinda rufaa ya kupinga kunyongwa kwa mauaji ya Erasto Msuya

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Habari wana jukwaa natumaini mpo salama!

Mfungwa Mussa Mangu aliyekua anatumikia adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika katika mauaji ya Bilionea Erasto Msuya ameachiwa huru jana baada ya kukata rufaa yeye na wenzake wanne.

Mahakama ya rufaa imeamua Mussa Mangu kuachiliwa huru mara moja baada ya kuonekana hana hatia wakisiliza hukumu hiyo kupitia "video conference" wakiwa Ukonga Gerezani walikohifadhiwa

pic-msuya.gif
 
Hapana hamna rushwa hapo ukiangalia hapo Sharrif Mohammed(Shamoo) na pesa zake zote kashindwa kuchomoka huyo Mussa Mangu alikua dereva wake.
Hapo sawa mkuu. kwa hiyo yeye tu ndiye ameachiwa!
 
Lakini rufaa si walikata yeye na wenzie!? Sasa inakuwaje achomoke mmoja tu kwenye hiyo rufaa!!?
Simple mkuu, hajawa linked na crime scene, tatizo tunaishi kwenye nchi ambayo bado inatumia mbinu za kipelelezi za miaka ya 20s,yaani kipigo, kulazimisha ushahidi, kukamata ovyo bila ya kujiridhia beyond doubts kuwa suspect ni mhusika, ni ndoto yangu kujenga DNA lab, iwe chini ya TP, nita train foresinc investigatives na finger prints za watanzania wote zitahifadhiwa ndani ya lab hii, watch the space
 
Back
Top Bottom