Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Habari wana jukwaa natumaini mpo salama!
Mfungwa Mussa Mangu aliyekua anatumikia adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika katika mauaji ya Bilionea Erasto Msuya ameachiwa huru jana baada ya kukata rufaa yeye na wenzake wanne.
Mahakama ya rufaa imeamua Mussa Mangu kuachiliwa huru mara moja baada ya kuonekana hana hatia wakisiliza hukumu hiyo kupitia "video conference" wakiwa Ukonga Gerezani walikohifadhiwa
Mfungwa Mussa Mangu aliyekua anatumikia adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika katika mauaji ya Bilionea Erasto Msuya ameachiwa huru jana baada ya kukata rufaa yeye na wenzake wanne.
Mahakama ya rufaa imeamua Mussa Mangu kuachiliwa huru mara moja baada ya kuonekana hana hatia wakisiliza hukumu hiyo kupitia "video conference" wakiwa Ukonga Gerezani walikohifadhiwa