Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Hayo mabilioni ya marehemu yapo wapi kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bajeti ya nini kwa 4m4 felia unatarajia watakua na uwezo wa kufanya uchunguzi kama wenzetuKumbe jamaa alikuwa dereva tu wa aliyetekeleza mauaji, akaangukiwa na jumba bovu. Inabidi polisi waongezewe bajeti ya kufanya uchunguzi.
Hiyo inanikumbusha wale jamaa walimuua yule mzungu mpinga ujangili Wayne Lotter (R.I.P). Kuna yule mdada aliunganishwa kwenye kesi eti kisa tu alikuwa anawapikia chakula. Wote walihukumiwa kunyongwa.Kweli huyo jamaa kimazingira hakuwa na hatia ni vile tu jeshi letu la polisi lipo nyuma sana kwenye investigations.....
Inawezekana yeye ni muajiriwa tu wa huyo boss. Boss kafanya mauaji akiripoti Boss akafungwa na yeye ajira yake itakuwaje!? MaBoss wengine ni Mafia unamripoti taarifa zinarudi kwake kupitia Askari Chawa, itakuwaje hapo!?Kama alimuendesha mtuhumiwa Hadi kwenye mauaji na yeye hakuripoti polis baada ya tukio ujue na yeye ni sehemu ya tukio
Usisahau yeye pia alihusika kuficha silaha.Hiyo inanikumbusha wale jamaa walimuua yule mzungu mpinga ujangili Wayne Lotter (R.I.P). Kuna yule mdada aliunganishwa kwenye kesi eti kisa tu alikuwa anawapikia chakula. Wote walihukumiwa kunyongwa.
Alikuwa anasubri kunyongwa alikuwa Bado hajaanza kutumikia adhanu ya kunyongwa.Habari wana jukwaa natumaini mpo salama!
Mfungwa Mussa Mangu aliyekua anatumikia adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kuhusika katika mauaji ya Bilionea Erasto Msuya ameachiwa huru jana baada ya kukata rufaa yeye na wenzake wanne.
Mahakama ya rufaa imeamua Mussa Mangu kuachiliwa huru mara moja baada ya kuonekana hana hatia wakisiliza hukumu hiyo kupitia "video conference" wakiwa Ukonga Gerezani walikohifadhiwa
View attachment 2586007
Walikamatwa 2013 mwanzoni wakahukumiwa kunyongwa 2018Alikuwa anasubri kunyongwa alikuwa Bado hajaanza kutumikia adhanu y kunyongwa.
Kuficha silaha kwani yeye alijua inatumika au imetumika kufanyia nini!? Yeye alienda eneo la tukio na kutenda uhalifu!? Kupewa silaha na kuweka Hakukufanyi uwe mhusika wa tukio.Usisahau yeye pia alihusika kuficha silaha.
Inategemea, je shtaka lake lilikuwa lipi? Kama shtaka lake lilikuwa kuhusika na mauaji hizo sababu zitakosa msingi, lakini kama kosa lake ni kushuhudia mauaji na kukaa kimya hapo sawa.Je baada ya kosa kutendeka na kujua,je alitoa taarifa kwa Jeshi la Police au nae alificha Siri!!??
Lakini rufaa si walikata yeye na wenzie!? Sasa inakuwaje achomoke mmoja tu kwenye hiyo rufaa!!?
Wwe mwenye uwezo wa juu wa kufikiri si ndiyo utowe majibu sasa!!?Uwezo wako wa kufikiri upo chini sana.
Kushuhudia na kukaa kimya hakumfanyi yeye apewe adhabu ya kifo kama aliyeua.Inategemea, je shtaka lake lilikuwa lipi? Kama shtaka lake lilikuwa kuhusika na mauaji hizo sababu zitakosa msingi, lakini kama kosa lake ni kushuhudia mauaji na kukaa kimya hapo sawa.
Kaa kimya.Wwe mwenye uwezo wa juu wa kufikiri si ndiyo utowe majibu sasa!!?
Umekua monitor tena!?Kaa kimya.
aliweza akawa alitishiwa sana,kumbuka anafamilia .na kibaya boss alihusika.unadhani angefanyaje !!?Je baada ya kosa kutendeka na kujua,je alitoa taarifa kwa Jeshi la Police au nae alificha Siri!!??
Una mawazo yaliyoendelea kijana.Simple mkuu, hajawa linked na crime scene, tatizo tunaishi kwenye nchi ambayo bado inatumia mbinu za kipelelezi za miaka ya 20s,yaani kipigo, kulazimisha ushahidi, kukamata ovyo bila ya kujiridhia beyond doubts kuwa suspect ni mhusika, ni ndoto yangu kujenga DNA lab, iwe chini ya TP, nita train foresinc investigatives na finger prints za watanzania wote zitahifadhiwa ndani ya lab hii, watch the space
Hiyo inanikumbusha wale jamaa walimuua yule mzungu mpinga ujangili Wayne Lotter (R.I.P). Kuna yule mdada aliunganishwa kwenye kesi eti kisa tu alikuwa anawapikia chakula. Wote walihukumiwa kunyongwa.