Mussa Zungu ataka wananchi kujifunga mkanda kwa maendeleo yao, asema misaada inaenda kupungua kutokana na vita

Mussa Zungu ataka wananchi kujifunga mkanda kwa maendeleo yao, asema misaada inaenda kupungua kutokana na vita

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo.

Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua kutokana na vita inayoendelea Ukraine

=======

Mussa Zungu: Kwanza mimi niipongeze Serikali kwa kuwasikiliza wananchi, wananchi wamepiga makelele na Serikali imesikiliza vizuri na Rais ameagiza ipitiwe(Tozo) na makelele yakazidi Rais akaagiza ipitiwe tena, imepitiwa na imepunguzwa sana.

Huu ndio uwajibikaji na uwazi ambao wananchi wamepeleka hoja kwa Serikali na mheshimiwa Rais ametoa maelekezo kwa Serikali yake na mmeona juzi gharama zimeshuka sana.

Pamoja na hayo zinajenga vituo, zinajenga hospitali ambayo wewe na mkeo mnakwenda kujifungua.

Tujivunie kujenga vitu vyetu tusingoje misaada, misaada huko mbele itapungua kutokana na vita ile nchi zenyewe zinazotusaidia zenyewe zina matatizo makubwa sana, na sisi wenyewe tujifunge mkanda tujenge chetu.

Kitu muhimu pesa hakuna, isitumike kwenye matumizi ambayo sio sahihi, matumuzi ya anasa, zitumike kwa maendeleo ya wananchi.

AA8A9438.jpg
 
Tozo ziliwekwa na serikali, ccm, zikawa tatizo,watu wakapiga kelele,zikapunguzwa na ccm,s asa huyu anaisifu serikali kwamba ni sikivu! Inatengeneza tatizo na kulitatua, harafu inataka raia washangilie,kama kufunga mikanda,tuanzie kwenye posho,kama wafanyakazi wengine, wanapokea mishahara tu, hakuna posho, posho za wabunge zifutwe,maana hazina mantiki, mtu yupo eneo lake la kazi, analipwa mshahara, sasa posho ya nini?
 
Hivi huyu huwa ni mwarabu? Au Mhindi, anaboa sana tena sana.
Tuangalie character sio ethnicity au kabila la mtu.

Tusifuate siasa za CCM za kuwaandama "Machotara".
We're above that.

Mungu ibariki Chadema.
 
Huwa nashangaa sana kuona hawa waarabu koko ndani ya serikali na chama..hakuna mtanzania asili hiyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acha Ubaguzi wewe..
Hao wapo kulinda aslahi yao na ndugu zao wa asia..hakuna mtanzania hapo endeleeni kujidanganya.

Ngozi nyeupo wote waliopo kwenye siasa wapo kwa malengo yao maalumu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao wapo kulinda aslahi yao na ndugu zao wa asia..hakuna mtanzania hapo endeleeni kujidanganya.

Ngozi nyeupo wote waliopo kwenye siasa wapo kwa malengo yao maalumu.

#MaendeleoHayanaChama
Ngozi ya Yesu.
 
Hik mikanda sasa itatunyonga,ondoa posho za wabunge,ondoa misafara isio na ulazima,ondoa safari za viongozi nje ya nchi ambayo pia si ya lazima.
 
Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo.

Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua kutokana na vita inayoendelea Ukraine

=======

Mussa Zungu: Kwanza mimi niipongeze Serikali kwa kuwasikiliza wananchi, wananchi wamepiga makelele na Serikali imesikiliza vizuri na Rais ameagiza ipitiwe(Tozo) na makelele yakazidi Rais akaagiza ipitiwe tena, imepitiwa na imepunguzwa sana.

Huu ndio uwajibikaji na uwazi ambao wananchi wamepeleka hoja kwa Serikali na mheshimiwa Rais ametoa maelekezo kwa Serikali yake na mmeona juzi gharama zimeshuka sana.

Pamoja na hayo zinajenga vituo, zinajenga hospitali ambayo wewe na mkeo mnakwenda kujifungua.

Tujivunie kujenga vitu vyetu tusingoje misaada, misaada huko mbele itapungua kutokana na vita ile nchi zenyewe zinazotusaidia zenyewe zina matatizo makubwa sana, na sisi wenyewe tujifunge mkanda tujenge chetu.

Kitu muhimu pesa hakuna, isitumike kwenye matumizi ambayo sio sahihi, matumuzi ya anasa, zitumike kwa maendeleo ya wananchi.

Huu ni ukweli mchungu ambao Wabongo hawataki kuambiwa..

Afrika ingefungua mipaka yao biashara ingelipa Sana Wala tusingetegemea Wazungu.
 
Kama Vita vimesababisha hela kupungua, sisi wananchi hela tunatoa wapi
 
Back
Top Bottom