Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kuna wadau walisema ni ya kawaida na wakasisitiza kwa kuleta mamuvi yao ambayo yamekaa kama video gamesCarter.
Hatari na nusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wadau walisema ni ya kawaida na wakasisitiza kwa kuleta mamuvi yao ambayo yamekaa kama video gamesCarter.
Hatari na nusu
Carter ndo video game kabisa maana sio kwa stunts zile kama wahindi.Kuna wadau walisema ni ya kawaida na wakasisitiza kwa kuleta mamuvi yao ambayo yamekaa kama video games
Unaona sasa 😁😁 ulilinganisha na muvi kama black adam ipi itaonekana angalau inauhalisia?Carter ndo video game kabisa maana sio kwa stunts zile kama wahindi.
Hamna movie hapo mkuu ni utopolo mtupu
Apo kwanza ni movies zenye genre tofauti lakini tukilinganisha kama ulivyosema zote hamna kazi labda leta nyingine ya kulinganishia.Unaona sasa [emoji16][emoji16] ulilinganisha na muvi kama black adam ipi itaonekana angalau inauhalisia?
Kuhusu black adam uko sawa kabisa .Apo kwanza ni movies zenye genre tofauti lakini tukilinganisha kama ulivyosema zote hamna kazi labda leta nyingine ya kulinganishia.
Black Adam ni vile tu DC ni watu wazito kwenye maswala ya comics kwa ukimtoa na MCU na imepewa airtime kubwa Lakin kiukweli sijaona ukali wake (kwa upande wangu lakin) Sijui kwa wengine.
Angalia Carter dk 51:38-57:00 uone hzo stunts zake kama game vile[emoji28][emoji28][emoji28] na pale juu ya ndege kudadeki ni upuuzi mtupu maeneo Ayo wameact like wahindi wa kusini pumbavu zao kabisa.Kuhusu black adam uko sawa kabisa .
Nacheki vr fighter umeshaiona? Mkono unatembezwa hatariAngalia Carter dk 51:38-57:00 uone hzo stunts zake kama game vile[emoji28][emoji28][emoji28] na pale juu ya ndege kudadeki ni upuuzi mtupu maeneo Ayo wameact like wahindi wa kusini pumbavu zao kabisa.
Alaf kingine camera zake zipozipo tu yaani me nahisi walivyomaliza kuishoot wakaiachilia bila kufanya review wao wenyewe(jokes[emoji23][emoji23])
Washenzi waliua tu kitimoto ya watu[emoji39] kwenye gari
Jina geni ilo siijui ipo vp tuma ata cover niione.Nacheki vr fighter umeshaiona? Mkono unatembezwa hatari
Jina geni ilo siijui ipo vp tuma ata cover niione.
Sijaiona hiyo, ni sci-fi?
HapanaSijaiona hiyo, ni sci-fi?
Alipata pisi kali badae..Fatherhood (2021): Comedy / Drama
Kelvin Hart anafiwa na mke wake baada ya kujifungua anabaki analea mtoto mwenyewe. View attachment 2440803
Ile pisi aisee ina tabasamu moja safi sana..Alipata pisi kali badae..
Picha linaanza pisi inaitwa Lizzy jina la marehem mkwewe jamaa kusikia jina akamwambia dem stop playin''[emoji28][emoji16]hakuamin kusikia jina ilo.Ile pisi aisee ina tabasamu moja safi sana..
KH zile ndio movies zake ni comedy tu, yeye pamoja na the Rock[emoji16]Picha linaanza pisi inaitwa Lizzy jina la marehem mkwewe jamaa kusikia jina akamwambia dem stop playin''[emoji28][emoji16]hakuamin kusikia jina ilo.
Sema K.H comedy sana mwl kasisitiza dress code akaona Sio swala acha yeye avae sket ila binti yake atinge suruali[emoji16][emoji28][emoji28]
Wanapatnership kali sana..KH zile ndio movies zake ni comedy tu, yeye pamoja na the Rock[emoji16]
Hii movie content yake inataka kufanana na movie ya kibongo inaitwa Mzee wa Swaga kacheza J.B ni bonge Moja la story..ROGUE AGENT View attachment 2392518
dark desire! seriesAny love story movie please..ya kinyama..
Black Adam ni ya kawaida sanaBLACK ADAM.....Mmeionaje wakuuView attachment 2421581