Haya ndio mambo ya kuleta humu sasaThe Takedown
Hii muvi ni ya Ufaransa, na sikuwahi dhania nchi kama Ufaransa wanaweza kutengeneza muvi ya mission na ikawa kali.
Hii muvi kama unapenda mambo ya mission, inakoshaView attachment 2462699
kama vP ishi nayo kwani trailer yake ipo vPMi hata sijaiona, kama ina rates za ajabu basi ngoja niachane nayo
Halafu kuna watu walikuwa wanaisifia Violent Night humu, leo nimeiangalia. Mbona ni muvi ya kawaida sana hii
Hahahaa yule mzee ni comedy sana mule ndio kacheza serious na nadhani hana muvi nyingi za action piaUnajua yule mzee wa Nobody ile ndio filamu yake ya kwanza kuiona sikuwahi kuona filamu zake za nyuma!! Japo nimeshazigugu kesho nitaanza kushusha moja moja
Yeah nimejaribu kucheki nyingi sana ni comedyHahahaa yule mzee ni comedy sana mule ndio kacheza serious na nadhani hana muvi nyingi za action pia
Trailer nililiona liko fresh tukama vP ishi nayo kwani trailer yake ipo vP
Wewe unsema violent night ya kawaid tutajie muvi zako kali hapa tuzishushe chapTrailer nililiona liko fresh tu
Ila umenipa idea nitakuwa naangalia ratings kabla sijadownload movie
Seoul VibeWewe unsema violent night ya kawaid tutajie muvi zako kali hapa tuzishushe chap
Ngoja nikaangalie trailers ole wako nikute ni za kiremboSeoul Vibe
The Takedown
Texas Chainsaw Massacre
The Woman King
Paws of Fury
Troll
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zote kali hapoNgoja nikaangalie trailers ole wako nikute ni za kirembo
Yani umeweka hadi vikatuni kweli nikaharibu bando? 🤔🤔🤔🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zote kali hapo
Violent Night haikuwa aina za muvi ambazo ninazipenda
Paws of Fury ni kali mara mia ya Violent Night[emoji41][emoji41]Yani umeweka hadi vikatuni kweli nikaharibu bando? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sijajua ni umri au director kamtupa.Sikuhizi ukiona movie ya Bruce Willis kaa nayo mbali hamna kitu humo!
Labda director kamtupa au budget yake ndogo sana maana wapo actors wenye umri kama wake na movie zao bado nzuri mfano mzee Taken!!Sijajua ni umri au director kamtupa.
Halafu kuharibu movie kunaanza pale star anapokuwa ndiye director, ndo story writer na executive producer. Nikishaonaga hivi najua tu bando lilienda bure. The same to Wills new movie the day to die. Yaani jina linashawish humo ndani Sasa ni ujinga ujinga mwingi uliopakwa wese unga'e
Hapana kuna muda watu huwa wanapuuzia kuangalia movie ko hata rates huendana na watu wangapi wameangalia pia wakaipenda movie husika ko sio lazima kuzingatia rates maana kuna movie nyingine utopolo lakini utakuta 9 rates [emoji23].Trailer nililiona liko fresh tu
Ila umenipa idea nitakuwa naangalia ratings kabla sijadownload movie