Must see Movies

Must see Movies

Mr Q mzigo wako huo
Screenshot_20221221-115709.jpg
 
Msisababishe tuchome bando kumbe muvi ni ya kukialia na mapenzi humo ndani halafu mnaita bonge la muvi
😑😑😑😑😑
Hahaha sawa mkuu sema kila mtu na naomi yake kulingana na movies yenyewe ila kwangu mimi movie ni kali
 
Vipi mzee umeshaicheki, umeionaje?
Ndio nimeshaiona. Kama uliwahi kucheki home alone ukaipenda bila shaka utaipenda pia hii.

Ina mambo haya.
Vibe la xmass (kama ni mkristo utaipenda tu)

Money heist(wadau wananusa mtonyo wa mamilioni kwenye familia wanaenda kujaribu bahati yao)

Kwa bahati father christmas anajikuta eneo la tukio na kutoa msaada hapo ndipo nyundo ya kupasulia mawe inatumika kuvunja mifupa ya hao wadau wanaojaribu kupora ule mtonyo.

For the time being wakati tunasubiri muvi nyingine kama operation fortune johnwick chapter ngapi sijui huko naweza kusema inafaa.
 
Ndio nimeshaiona. Kama uliwahi kucheki home alone ukaipenda bila shaka utaipenda pia hii.

Ina mambo haya.
Vibe la xmass (kama ni mkristo utaipenda tu)

Money heist(wadau wananusa mtonyo wa mamilioni kwenye familia wanaenda kujaribu bahati yao)

Kwa bahati father christmas anajikuta eneo la tukio na kutoa msaada hapo ndipo nyundo ya kupasulia mawe inatumika kuvunja mifupa ya hao wadau wanaojaribu kupora ule mtonyo.

For the time being wakati tunasubiri muvi nyingine kama operation fortune johnwick chapter ngapi sijui huko naweza kusema inafaa.
Namimi nimetoka kuicheki sio mbaya sana iko poa ila nimeikubali kazi ya ile nyundo
 
The Boy Next Door..

Claire ambaye ana mgogoro na mume wake anajikuta anazagamuana na kijana mdogo ambaye ni jirani yake..Claire anasema ilikuwa mistake..Kijana mdogo anasema hapana na anakuwa kinganganizi..anaandaa vita kali na Claire.

Nimeielewa sana.
 
Back
Top Bottom