Toka zamani mimi huyu jamaa ninamashaka nae [emoji23] ila kuanzia mwaka juzi ndio kazidi kunidhihilishia sio wakuamini maisha yote [emoji23].Sikuhizi ukiona movie ya Bruce Willis kaa nayo mbali hamna kitu humo!
Poa hii kesho nikipata muda naishushaHapana kuna muda watu huwa wanapuuzia kuangalia movie ko hata rates huendana na watu wangapi wameangalia pia wakaipenda movie husika ko sio lazima kuzingatia rates maana kuna movie nyingine utopolo lakini utakuta 9 rates [emoji23].
Trailer nimeicheck inashawishi iko moto jitoe muhanga 300 mbs kitu gani bhana mimi mwenyewe naishusha baadae [emoji23].
Kaishiwa kabisa huyu mzeeToka zamani mimi huyu jamaa ninamashaka nae [emoji23] ila kuanzia mwaka juzi ndio kazidi kunidhihilishia sio wakuamini maisha yote [emoji23].
movie za Low budget kama ndugu yake Scott Adkins [emoji23][emoji23][emoji38]Kaishiwa kabisa huyu mzee
Hii movie naionaga ila kila siku naipita kwa sababu ni ya KijapaniHell Dogs (2022): Movie ya wajapan, ex-police officer anajipenyeze kwenye Yakuza family ili kulipa kisasi cha mauaji ya wapendwa wake.View attachment 2465187
Naipa ratings kama 6/10 hivi sio mbaya sana sio nzuri sana pia!!Hii movie naionaga ila kila siku naipita kwa sababu ni ya Kijapani
We ingia tu google, halafu search:Nipe link ya kushusha movies mazee
Nimeicheki movie iko poa sana, ni crime based. Haina tofauti na "Death on the Nile" au "Murder Mystery"Huu mzigo nani kauona?..?View attachment 2459084
Iko poa unaweza icheki.Nani ameicheki ile series ya the witcher blood
Ila scott kwanini hawampi mikataba ya maana mbona pigo zake ni kama mzee wa operation fortune johnwick na wazee wengine wenye mikono ya maana?movie za Low budget kama ndugu yake Scott Adkins [emoji23][emoji23][emoji38]
Sure jamaa anagonga mkono dunia lakini daily movie zake zinatembea low mileage.Ila scott kwanini hawampi mikataba ya maana mbona pigo zake ni kama mzee wa operation fortune johnwick na wazee wengine wenye mikono ya maana?
Jamaa mpaka huwa nahisi nje ya uigizaji huwa anamajukumu makubwa sana yanayo muelemea pia yakihusisha Pesa hivyo kukitokea Dili lolote kwa Bajeti yeyote yeye yupo tayari hataki kupoteza Pesa [emoji857].Ila scott kwanini hawampi mikataba ya maana mbona pigo zake ni kama mzee wa operation fortune johnwick na wazee wengine wenye mikono ya maana?
Yawezekana ila kama ni action jamaa anaweza sanaJamaa mpaka huwa nahisi nje ya uigizaji huwa anamajukumu makubwa sana yanayo muelemea pia yakihusisha Pesa hivyo kukitokea Dili lolote kwa Bajeti yeyote yeye yupo tayari hataki kupoteza Pesa [emoji857].
Jamaa ni kama ana mambo yake nje ya uigizaji maana sijui ni instructor wa ngumi na anatambulika kabisa.Yawezekana ila kama ni action jamaa anaweza sana
anajua Mnoooo.Yawezekana ila kama ni action jamaa anaweza sana