MercyNahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
Nope. Ya Stephen King lkn Sio horror. Ila ina story tamuuhorror?..?
Sio ya kutisha. Ila story yake nzuri tu.Ukali wake ukoje hii?! Maana nimepitia reviews za watu huko duniani wanasema ni movie nzuri japo haitishi kama wanavyosema!!
Anza na hii [emoji108]Nahitaji muvi za watu weusi kubaguliwa
Netflix haipo [emoji22]Movie ina story nzuri, sema ile black and white sikujua why? lakini Movie nzuri sana...
Angalia na The best of me [emoji108]Bonge moja la movies nimetoka kuicheki jana
Duh.. yaani Netnaija ipo halafu Netflix haipo[emoji38][emoji38]Netflix haipo [emoji22]View attachment 2489388
Wow hapo the godfather na pulp fiction ni master pieceNetflix haipo [emoji22]View attachment 2489388
Bonge la series..Eliot ndio anakuja ku take overKitamboooo nasubiri nione kam itatoka ingine....ila maswali yangu mama yao na wale machaliii ninani haswa?
Mbona kawageuka mpaka madogo
It seems yeye ndo alimuua mume wake in the first place
Na yule dada aliempeleka kwa yule mpakistani mwanzoni kabla sean hajaja kumchukua ni wazi alipambana nae nusu ya kumuua iweje tena alivyorudishwa na sean yule jamaa hakumuuua?
Yaani ina loose end nyingi sana kias kwamba epsode ya mwisho ni kama mwandishi wastor alikua anasubiri opinion za watu....maana nafikiri ilikua inakua aired one by one..and real watu wengi sana walicoment why yule mdada kauwawa....ndo ksja katokea kipande cha mwisho
...nishawasahau majina kama miez mbili sasa
Inatisha but haina story nzuri..#Horror 2018
View attachment 2485073
Mr harrigan phone ❤Mr harrigan's phone [emoji108]View attachment 2473716
Pamoja mkuu nitaidownloadAngalia na The best of me [emoji108]
One hundred colors ndio kibokoKaanze na Emancipation
Hii sijaicheki badoOne hundred colors ndio kiboko
Itafute kwangu ndio movie bora kabisa ya ubaguzi,..Hii sijaicheki bado
Eliot ni rat....hapo inakuaje...si mpelelezi yule wa wale sijui wa serekaliBonge la series..Eliot ndio anakuja ku take over