Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Wahindi wana zile actions zao amazing sana huwa nazikubali sana[emoji16], jaribu kugugo movies zao halafu ingia sites kama fzmovies utazukuta mingi tuWakuu kuna anaefahamu muvi nzuri za Kihindi za kutumia akili nyingi mfano wa 3 idiots hivi anipe list hapa nizisake niburudishe akili
Nina miaka sasa sijaangalia muvi ya kihindi hata moja. Huwa nahofia sana kupoteza MB zangu. Naona sio salama kutupia MB kwenye muvi za KihindiWahindi wana zile actions zao amazing sana huwa nazikubali sana[emoji16], jaribu kugugo movies zao halafu ingia sites kama fzmovies utazukuta mingi tu
Unaogopa yale mapigo ya kuua mtu na ndizi[emoji16][emoji16]Nina miaka sasa sijaangalia muvi ya kihindi hata moja. Huwa nahofia sana kupoteza MB zangu. Naona sio salama kutupia MB kwenye muvi za Kihindi
Hii nimeimaliz season 1 ila inakula GB balaaThe Bureau
Kwa wapenda mission, spy
Hii kitu imekaa vizuri
Season 5
Gb 37
Wahindi wapo vizuri sana kweny movie za kutumia akiliWakuu kuna anaefahamu muvi nzuri za Kihindi za kutumia akili nyingi mfano wa 3 idiots hivi anipe list hapa nizisake niburudishe akili
Kuna clip moja ya kihindi niliiona sijui kama kweli imetoka kwenye muvi, kulikuwa kuna ndege ipo matatizoni huko angani nusu ipate ajali, lakini kuna ndege ilikuwa jirani ikabidi watoe msaada wakaifunga ndege iliyo matatizoni na kamba wakaunganisha na ndege yao Kisha wakawa wanaivuta. Yaani ndege inaivuta ndege nyingine na kamba na wote wapo angani.Unaogopa yale mapigo ya kuua mtu na ndizi[emoji16][emoji16]
M3gan ina ratings ndogo IMDb lakini nilipoiona muvi yenyewe niliikubali sana.Wakuu tukaangalie hii iko poa nayo[emoji106]View attachment 2514890
Wahindi wanavituko sana. Niliona moja hiyo jamaa anapigana sijui na adui kwenye ghorofa A halafu kuna surgery ya moyo anafanyiwa mtu ghorofa B. Yule mwamba alimpiga sijui ni ngumi yule adui moyo wake ukachomoka ukaenda mpaka ghorofa B kwa yule mgonjwa aliekuwa anafanyiwa surgery, alikuwa ashapasuliwa kifua ule moyo ukadumbukia pale na hapohapo ukaanza kudunda jamaa akapata nafuu. Asieee nilishangaa sana inakuaje watu wazima mnaandaa movie hata mwez mzima halafu mnakuja vichekesho kama hvo[emoji16][emoji16]Kuna clip moja ya kihindi niliiona sijui kama kweli imetoka kwenye muvi, kulikuwa kuna ndege ipo matatizoni huko angani nusu ipate ajali, lakini kuna ndege ilikuwa jirani ikabidi watoe msaada wakaifunga ndege iliyo matatizoni na kamba wakaunganisha na ndege yao Kisha wakawa wanaivuta. Yaani ndege inaivuta ndege nyingine na kamba na wote wapo angani.
Aisee tangu siku ile hawa jamaa nawaheshimu sana na sitaki hata kushobokea muvi zao[emoji23][emoji23]
Labda wale watu wa mwanzon mwanzon ku rate unakuta hawakuvutiwa nayoM3gan ina ratings ndogo IMDb lakini nilipoiona muvi yenyewe niliikubali sana.
Sometimes ratings za watu hazipo fair
Maproducer wa kihindi ni wabongo wenye rangi nyeupeWahindi wanavituko sana. Niliona moja hiyo jamaa anapigana sijui na adui kwenye ghorofa A halafu kuna surgery ya moyo anafanyiwa mtu ghorofa B. Yule mwamba alimpiga sijui ni ngumi yule adui moyo wake ukachomoka ukaenda mpaka ghorofa B kwa yule mgonjwa aliekuwa anafanyiwa surgery, alikuwa ashapasuliwa kifua ule moyo ukadumbukia pale na hapohapo ukaanza kudunda jamaa akapata nafuu. Asieee nilishangaa sana inakuaje watu wazima mnaandaa movie hata mwez mzima halafu mnakuja vichekesho kama hvo[emoji16][emoji16]
Kabisa mkuu[emoji16][emoji16]Maproducer wa kihindi ni wabongo wenye rangi nyeupe
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa nimegundua watu hamna mzuka na muvi za wahindi, an hawana hata 1 ya akili kweli inayoweza kuangalizikaKabisa mkuu[emoji16][emoji16]
Kesho ntakupandishia baadhi ya movieMpaka sasa nimegundua watu hamna mzuka na muvi za wahindi, an hawana hata 1 ya akili kweli inayoweza kuangalizika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahindi wanavituko sana. Niliona moja hiyo jamaa anapigana sijui na adui kwenye ghorofa A halafu kuna surgery ya moyo anafanyiwa mtu ghorofa B. Yule mwamba alimpiga sijui ni ngumi yule adui moyo wake ukachomoka ukaenda mpaka ghorofa B kwa yule mgonjwa aliekuwa anafanyiwa surgery, alikuwa ashapasuliwa kifua ule moyo ukadumbukia pale na hapohapo ukaanza kudunda jamaa akapata nafuu. Asieee nilishangaa sana inakuaje watu wazima mnaandaa movie hata mwez mzima halafu mnakuja vichekesho kama hvo[emoji16][emoji16]
Wahindi walikuwa zamani enz za Amita Bachan, Sunny deol,Sanjay Dat,Omrish Pur,Jack Shrof,Ajay Devgan,King SRK,Akshay Kumar, Hrithik Roshan,Sunil Shetty n.k waliteka sana soko yaani walikuwa wanatoa vyuma tupu usipolia kwenye story tamu kama Kal Ho Nao(Nani anaijua Kesho),utaguswa na Tere Naam(Jina lako) au hisia zitaamshwa na Qayamat(Kiama) apo tumeacha Aandha Kanon(sheria kipofu) oyaaa hawa jamaa walikuwa wanajua mpaka wanakera japo movie masong kibao sometime masaa hadi ma3 unaangalia tu movie moja lakin huchoki.Kabisa mkuu[emoji16][emoji16]
Hongera kwanza kwa kuyajua hayo majina mpaka kiswahili[emoji16][emoji16]. Mabanda umiza yatakuwa yanakujua sana.Wahindi walikuwa zamani enz za Amita Bachan, Sunny deol,Sanjay Dat,Omrish Pur,Jack Shrof,Ajay Devgan,King SRK,Akshay Kumar, Hrithik Roshan,Sunil Shetty n.k waliteka sana soko yaani walikuwa wanatoa vyuma tupu usipolia kwenye story tamu kama Kal Ho Nao(Nani anaijua Kesho),utaguswa na Tere Naam(Jina lako) au hisia zitaamshwa na Qayamat(Kiama) apo tumeacha Aandha Kanon(sheria kipofu) oyaaa hawa jamaa walikuwa wanajua mpaka wanakera japo movie masong kibao sometime masaa hadi ma3 unaangalia tu movie moja lakin huchoki.
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Nicheki pm nikuunge telegram group la movieKwa hiyo hakuna mtu anayejua group la movie la WhatsApp [emoji1745][emoji1745]