Wahindi walikuwa zamani enz za Amita Bachan, Sunny deol,Sanjay Dat,Omrish Pur,Jack Shrof,Ajay Devgan,King SRK,Akshay Kumar, Hrithik Roshan,Sunil Shetty n.k waliteka sana soko yaani walikuwa wanatoa vyuma tupu usipolia kwenye story tamu kama Kal Ho Nao(Nani anaijua Kesho),utaguswa na Tere Naam(Jina lako) au hisia zitaamshwa na Qayamat(Kiama) apo tumeacha Aandha Kanon(sheria kipofu) oyaaa hawa jamaa walikuwa wanajua mpaka wanakera japo movie masong kibao sometime masaa hadi ma3 unaangalia tu movie moja lakin huchoki.
Sent from my CPH2159 using
JamiiForums mobile app