Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
All done ngoja nitafute muda sasa nizicheckNpo naidownload apaView attachment 2537809
Surekuna vitu adimu
Peaky blinders ni kundi la wafanya biashara tuseme haramu ambao wamebase mji wa Birmingham linaloongozwa na Thomas Shelby na aunt yao pamoja na familia ya Shelbys..
Thomas anapambana sana na makundi mengine ili Kufanikisha legacy ya familia pia kwa ajili ya maisha
Thomas anatumia akili sana ni kama Genius, ni mtu hayumbishwi, Family First na mpambanaji sana hakubali kushindwa jambo analoliamini..
Yote kwa yote ni katika kujaribu ku survive katika kipindi kile nchi ilipokua na magenge mengi baada ya England kutoka vitani France
Mkuu hicho kitonga Cha vpn ??, Au bando🤪All done ngoja nitafute muda sasa nizicheckView attachment 2537816
Yeah sema ile ni bonge la series, itafute na zero zero zero ni 🔥 🔥🔥kama ya John Boy kufa??
Blacklist niliangaliaga episode 2 tu zamani sanaa hata miaka 10 inafika
kipindi hiko Nilinunuaga CD sijui, ilikua makini sana
labda niangalie upya
[emoji23]hyo free from JobMkuu hicho kitonga Cha vpn ??, Au bando[emoji2957]
Aisee ngoja nikazane, ili nije kugundua wi-fi ya mbali😂😁[emoji23]hyo free from Job
mi matarajio huwa sinagaMimi sasa ndio huwa sishawishiki na Filamu zinazoshika vichwa vya habari mfano tu hiyo GAME OF THRONES mpaka Leo hata trailer tu sijawahi fuatilia.
Black Panther ya kwanza nimeiona mwaka Jana, tena baada ya mdogo angu kuja nayo Ghetto alikuwa anatizama, hii ya Pili nilikuwa nina mpango nayo ila baada ya Introsagvert kusema kuna Character wana mabawa miguuni nishapuuzia [emoji23].
Ujue Filamu kama hizo zinaumiza moyo sana unapokuwa ushajiandaa kwamba nacheck bonge la filamu, ila unachoenda kukutana nacho ni tofauti na ulichosimuliwa yani ni zile filamu zinapakwa asali nyingi kama Lugha za vijana wa Dar es salaam [emoji1787][emoji23].
Ngoja nitafuteYeah sema ile ni bonge la series, itafute na zero zero zero ni [emoji91] [emoji91][emoji91]
Upo pande zipi?Aisee ngoja nikazane, ili nije kugundua wi-fi ya mbali[emoji23][emoji16]
Poa
Link hiyo hapo
Links plz
Daaaah jamaa umetisha kinomanoma hlo group lina movie nyingi sanaLink hiyo hapo
Umeona eehDaaaah jamaa umetisha kinomanoma hlo group lina movie nyingi sana
Movie kali tupuUmeona eeh
Kwa Sasa dar mkuu, lete michongo bossUpo pande zipi?
Maeneo gani?Kwa Sasa dar mkuu, lete michongo boss