Ngoja nione hiyo The night agent. Binafsi natamani kuangalia series ambayo ipo vomplete, haya mambo ya kuangalia season 1 mwaka huu then unasubiri mpaka mwakani kuangalia season 2 huwa yananishinda sana. Raha ya muvi uangalie umalizane nayoChukua sasa series fupi ujipoze nayo wkend
The night agent
Citadel
Na wkend yako itaenda poa kabisa
The niht agent haitakuacha na alosto ya kusubiri szn2 wameimaliza vizuri tuNgoja nione hiyo The night agent. Binafsi natamani kuangalia series ambayo ipo vomplete, haya mambo ya kuangalia season 1 mwaka huu then unasubiri mpaka mwakani kuangalia season 2 huwa yananishinda sana. Raha ya muvi uangalie umalizane nayo
Ngoja nijaribuThe niht agent haitakuacha na alosto ya kusubiri szn2 wameimaliza vizuri tu
James bond zote sio noir,baadhi tu mfano casino royale.Best sell zote za james bond sio noir filmHapo umewaunganisha na wakina James Bond au ???
Mb's utakazotumia kuangalia movie nzima online, zitakuwa tofauti na zile za kuivuta movie?Naombeni chimbo la kuangalia movie, sio kudownload Tu Bali kauangalia online free
Naombeni chimbo la kuangalia movie, sio kudownload Tu Bali kauangalia online free
Na hii ndio sababu huwa sio mtu wa series, Labda iwe ishakamilikaNgoja nione hiyo The night agent. Binafsi natamani kuangalia series ambayo ipo vomplete, haya mambo ya kuangalia season 1 mwaka huu then unasubiri mpaka mwakani kuangalia season 2 huwa yananishinda sana. Raha ya muvi uangalie umalizane nayo
Hii ni site gani?Nilikuwa naangalia hii movie jamaa anapiga balaaView attachment 2634702
YTSHii ni site gani?
Ya mwaka ganiNimalizia episode ya sita ya Bodyguard..aisee wenzetu kwa stori kali ni hatari sana.
Ni season one naona..ya 2018.Ya mwaka gani
hicho ndo CHUMA changu tangu dunia iumbweeeee mamaeeeeeeeeeeMiaka inavyozidi kwenda inajidhihirisha kabisa hakutakuja kutokea muvi kali ya action kama hii tena
Especially Hollywood, hawatokuja kuleta kigongo kikali kama The Raid
Upo kama mimi, nilianza kuifuatilia Game of Throne baada ya kuona wametoa tangazo kwamba S08 ndo itakua ya mwisho. Nikasubiri tena mpaka walivyotoa realese date ya hiyo final season ndo nkaanza kuiangalia, by the time wanatoa ya mwisho nilikua s06 nikawa ni kutiririka nayo tu mpaka mwisho na niliinjoi sanaNa hii ndio sababu huwa sio mtu wa series, Labda iwe ishakamilika
Au ikitoka episode moja leo nyingine mpaka week ijayo, huwa naona ikitimia yote namimi ndio nianze kuangaliaUpo kama mimi, nilianza kuifuatilia Game of Throne baada ya kuona wametoa tangazo kwamba S08 ndo itakua ya mwisho. Nikasubiri tena mpaka walivyotoa realese date ya hiyo final season ndo nkaanza kuiangalia, by the time wanatoa ya mwisho nilikua s06 nikawa ni kutiririka nayo tu mpaka mwisho na niliinjoi sana
Ukisha download then inakuaje kuzipata hizo gb?Kama unatumia airtel download app ya MY airtel unapewa offer ya GB2 wengine wanapewa GB4 hakikisha simu yako ni 4G View attachment 2632385
Download ingia kwenye appUkisha download then inakuaje kuzipata hizo gb?