Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Hivi kwani YouTube hamna.... Those good days kulikuwa na cartoon network channel 10[emoji16]Emu turud back in days tulipenda angalia show za cartoon network kama Tom and jerry
Scooby doo
Ben Ten
Wakuu sites gani naweza pata kudownload hizi shows nimejaribu kimcartoon na kisscartoon naona mawenge tuuu.
Nataka niwe na playlist kwa ajili ya mm na mwanangu kipindi cha likizo hiki
Mkuu chuma chako kipo released ushakiona?Nimeiwinda sana.
Zikitoka hizi tufahamishane
Hyptonic
Black lotus
Nimeshaichukua bado kiicheki tu. Namakiza series moja inaitwa bodyguardMkuu chuma chako kipo released ushakiona?View attachment 2644226
Ilivyotoka tu wadau tulimalizana nayo fasta. Kuna wabongo walikuwa wanaiponda ukiwaambia wakutajie nyingine nzuri kwa sasa wanarara mbereTHE NIGHT AGENT..
Kuleni chuma hicho..kipo Netflix pia.
Watu tunangoja SE 2 kwa hamu zote.THE NIGHT AGENT..
Kuleni chuma hicho..kipo Netflix pia.
Haya yote tutayaona kwenye THE CONTINENTAL ambayo inatoka mwaka huuMuvi isipokuwa na muendelezo itakuwa haina maana
Yule demu ambaye faza ake aliuliwa na Donnie Yen Anataka kulipiza kisasi kwa Donnie kutokana na kifo cha mzee wake
Ile muvi haijaishia pale kaburini.
Baada ya maandishi yote kuisha kule mbele ilikuwa inaendelea
Wameonesha dem anatembea kwenye Street ya watu wengi halafu kwa mbali akamuona Donnie Yen akaanza kumfuatilia halafu alivyomkaribia akachomoa kisu then muvi ikaisha
So Kwa logic hii muvi yapaswa uendelee tuone kama yule dem atalipa kisasi (sijakariri jina lake) na je alifanikiwa kupambana na Donnie Yen mbele ya halaiki?
Napenda movie zenye story Kali kama the platform, Papillon, Restless n.k hii ya kwako inaonesha ni kali sana nitaichekiMzigo huu unastory kali sana kirusi kimesambaa kwa njia ya hewa kila kiliempata anajidhuru au kujiua nimesikiliza review kidogo kwa jamaa anajiita Dulle kid Instagram View attachment 2640788
Al ni nini?Kuna mgomo wa waandishi wa movie huko hollywood kwa sabab hawatak kazi zao kuingiliwa na AI
Artificial intelligenceAl ni nini?
Humu naskia story itarud nyuma itamuelezea winston alivyoipata continental hotelSeptember humu ndani John wick atakuwepo View attachment 2644596
Waweke sasa za kawaida zenye actions zinazo saidiwa na ubunifu wa teknolojia. Wengine za marobiti hatupendiBongo movie imefikia pazuri [emoji28][emoji28]
Kwangu mimi hii ndio muvi ya Kibongo kuona ina Robots ndani yake na action za magari kukimbizana, Probably ndio first Sci-fi movie ya Kibongo kuwahi kuiona.
Ingawa naona itakuwa ya kawaida ila kwa Wabongo wamejitahidi
SureWaweke sasa za kawaida zenye actions zinazo saidiwa na ubunifu wa teknolojia. Wengine za marobiti hatupendi
Naitafutia muda tu niicheckNapenda movie zenye story Kali kama the platform, Papillon, Restless n.k hii ya kwako inaonesha ni kali sana nitaicheki
[emoji23][emoji23][emoji23]we mzee unawaza damu tu mtu kala shoka la mbavu mixer mapangaSure
Wangeinvest hii hela kwenye movie za action kama The Night Comes for Us ingekuwa bomba zaidi
In blood and violence, we TRUST[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]we mzee unawaza damu tu mtu kala shoka la mbavu mixer mapanga