Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Nimeiona hapa azam TVBongo movie imefikia pazuri [emoji28][emoji28]
Kwangu mimi hii ndio muvi ya Kibongo kuona ina Robots ndani yake na action za magari kukimbizana, Probably ndio first Sci-fi movie ya Kibongo kuwahi kuiona.
Ingawa naona itakuwa ya kawaida ila kwa Wabongo wamejitahidi
Yah..... Wanaifanyia promoNimeiona hapa azam TV
Wakuu tunaipakulia wapo hiyo daahBongo movie imefikia pazuri [emoji28][emoji28]
Kwangu mimi hii ndio muvi ya Kibongo kuona ina Robots ndani yake na action za magari kukimbizana, Probably ndio first Sci-fi movie ya Kibongo kuwahi kuiona.
Ingawa naona itakuwa ya kawaida ila kwa Wabongo wamejitahidi
Haijatoka badoWakuu tunaipakulia wapo hiyo daah
The Americans inayooneshwa Azam One auKwa upande wangu series ya The Americans ndo series bora ya Ujasusi kama kuna nyingine nitajieni ilaa hii nimeinyooshea mikono[emoji119][emoji119]
NB: Nazungumzia Series sio single movie
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Sijajua kama inaonyeshwa maana me ninayo full kwenye ExternalThe Americans inayooneshwa Azam One au
Watu8 siku nyingine usituletee takataka eti ni muvi za kivita.
Angalia hii guy ritches the covenant 2023. Dakika 28 za mwanzo zitaku satisify kabisa
Sawa sasa uwe unaleta kama hizo 😁😁😊 sawa mkuu...
Hiyo uliyoitaja nimeshaitazama ilipopandishwa tu kwenye vijiwe vyetu vya kudownload...
Sawa sasa uwe unaleta kama hizo 😁😁
Sawa sasa uwe unaleta kama hizo 😁😁
Moja kati ya series bora kabisa , hii series haimtaki mtu mwenye haraka , inahitaji utulie ufatilie visa taratibuKwa upande wangu series ya The Americans ndo series bora ya Ujasusi kama kuna nyingine nitajieni ilaa hii nimeinyooshea mikono[emoji119][emoji119]
NB: Nazungumzia Series sio single movie
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Ole wenu nikute ni ujingaujinga tuMoja kati ya series bora kabisa , hii series haimtaki mtu mwenye haraka , inahitaji utulie ufatilie visa taratibu
Visa vyake vimefanya niione hii kazi ya Usalama wa Taifa sio ya kuajiri vilaza unapaswa uwe na IQ iliyotulia na usiwe short temper utaharibu kazi muda wowote..Moja kati ya series bora kabisa , hii series haimtaki mtu mwenye haraka , inahitaji utulie ufatilie visa taratibu
[emoji23][emoji23]hakikisha umetuliza akili lakini japo sio kama zile aina ya Tenet usipoielewa me ntakurudishia bando lako(kama kweli we ni mtu wa movie)Ole wenu nikute ni ujingaujinga tu
Ndio maana kuna neno intelligence humo. Sema mchi nyingine wanatoa neno intelligence wanaweka ukada kujuana n.kVisa vyake vimefanya niione hii kazi ya Usalama wa Taifa sio ya kuajiri vilaza unapaswa uwe na IQ iliyotulia na usiwe short temper utaharibu kazi muda wowote..
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Kama unaenda kwaajili ya kuzikuta ngumu kama kina John wick au raid basi utakua disappointed, inatakiwa utulie uangalieOle wenu nikute ni ujingaujinga tu
Na mule ndani kuna baadhi ya story ni za kweli kabisa ziliwai kutokea kipindi hicho wameziunganishaVisa vyake vimefanya niione hii kazi ya Usalama wa Taifa sio ya kuajiri vilaza unapaswa uwe na IQ iliyotulia na usiwe short temper utaharibu kazi muda wowote..
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app