Nimecheki hiyo Angel has fallen,ilikuwa ni ya moto sana.Ndo unaiona leo? Mi nilisha irudia mara 2 hivi. Zinazo fananazo ni olympus has fallen
Angel has fallen
Pambana na hali yako sasa japo mimi nilipenda zaid whitehouse down
Goojara ina speend ndogo sana ya upakuaji, movie ambayo kwingine inachukua dk 7 kuingia kule utatumia mpaka dk 40 au saa zima kabisa.Ipo goojara.to na pia fzmovies.net
Ila ya goojara ndio ipo clean sana
Servers za goojara ni za kijinga sana.Goojara movies zina quality nzuri kushinda netnaija. Na hata mb pia zipo nyingi maana quality ni kubwa nyingi 720p hivi hata za 1080 zipo utaweza kuta hata 1GB na kuendelea.
Ila kwa fzmovies unaweza kuchagua high quality au low. High quality mara nyingi unakuta less than 800MB ni around 600 - 700MB
Netnaija kule movies zote ni low quality japo kuna nyingine still zinaonekana vizuri tu. Kama unaangalizia kwenye simu sio rahisi kugundua kama quality ndogo mpak utumie kioo kikubwa
Na kuna wakati unasaga MB 680 kati ya MB 800 download ina feli. Nilisha achana na goojaraServers za goojara ni za kijinga sana.
Wazee wa kitonga kule fzmovoies tunaisubiriaTayar imeshatoka online View attachment 2648388
Yts nimeikosa naona bado HDTayar imeshatoka online View attachment 2648388
THE CONTINENTAL setting yake itakua ni miaka ya 70's huko kipindi hicho wakina Winston bado vijanaThe continental itakua [emoji91]
Na kuna wakati unasaga MB 680 kati ya MB 800 download ina feli. Nilisha achana na goojara
Wakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.Servers za goojara ni za kijinga sana.
Ulikuwa unatumia website gani kuchukua movie,Servers za goojara ni za kijinga sana.
Hili nilidhani linanikuta mimi tu, vipi kwasasa unashusha movies kupitia site ipi?Na kuna wakati unasaga MB 680 kati ya MB 800 download ina feli. Nilisha achana na goojara
Mtandao unaonekana haupo stable nikiwa goojara tu, mbona kwingine vitu vinashuka faster kwa mtandao huohuo? When all factors are kept constant, goojara has got poor servers compared to other genuine sites.Wakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.
Labda itakuwa ni mtandao haupo stable. Sijawahi kukutana na hiyo changamoto. It works very fine with me!!
Current movies netnaija old movies yts movies with high quality ytsHili nilidhani linanikuta mimi tu, vipi kwasasa unashusha movies kupitia site ipi?
Kwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.Mtandao unaonekana haupo stable nikiwa goojara tu, mbona kwingine vitu vinashuka faster kwa mtandao huohuo? When all factors are kept constant, goojara has got poor servers compared to other genuine sites.
Mi naitumia kuangalia movie online tuKwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.
Au huwenda internet speed yangu ni ya kobe halafu naona ipo normal[emoji16]. Hebu Reuben Challe atupe mrejesho nayeye maana ndio alinipa hili chaka
Tatizo nimeshalijua. Wengine tunashusha kupitia simu na mtandao huwa upo hiviKwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.
Au huwenda internet speed yangu ni ya kobe halafu naona ipo normal[emoji16]. Hebu Reuben Challe atupe mrejesho nayeye maana ndio alinipa hili chaka
Sijawahi kudownload kupitia simu. Hebu jaribu idm ile ya simu uone kama kuna mabadiliko au la.Tatizo nimeshalijua. Wengine tunashusha kupitia simu na mtandao huwa upo hiviView attachment 2649290
Tatizo sio hilo, mimi natumia WiFi na bado shida ni ileile tu.Tatizo nimeshalijua. Wengine tunashusha kupitia simu na mtandao huwa upo hiviView attachment 2649290
Kwenye simu ndio tatizo kwa pc naona hakuna shidaTatizo sio hilo, mimi natumia WiFi na bado shida ni ileile tu.View attachment 2649323
MB 600 robo saa bdo huo muda unaotumia ni mwingiWakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.
Labda itakuwa ni mtandao haupo stable. Sijawahi kukutana na hiyo changamoto. It works very fine with me!!