Must see Movies

Must see Movies

Goojara movies zina quality nzuri kushinda netnaija. Na hata mb pia zipo nyingi maana quality ni kubwa nyingi 720p hivi hata za 1080 zipo utaweza kuta hata 1GB na kuendelea.

Ila kwa fzmovies unaweza kuchagua high quality au low. High quality mara nyingi unakuta less than 800MB ni around 600 - 700MB

Netnaija kule movies zote ni low quality japo kuna nyingine still zinaonekana vizuri tu. Kama unaangalizia kwenye simu sio rahisi kugundua kama quality ndogo mpak utumie kioo kikubwa
Servers za goojara ni za kijinga sana.
 
Na kuna wakati unasaga MB 680 kati ya MB 800 download ina feli. Nilisha achana na goojara
Servers za goojara ni za kijinga sana.
Wakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.
Labda itakuwa ni mtandao haupo stable. Sijawahi kukutana na hiyo changamoto. It works very fine with me!!
 
Wakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.
Labda itakuwa ni mtandao haupo stable. Sijawahi kukutana na hiyo changamoto. It works very fine with me!!
Mtandao unaonekana haupo stable nikiwa goojara tu, mbona kwingine vitu vinashuka faster kwa mtandao huohuo? When all factors are kept constant, goojara has got poor servers compared to other genuine sites.
 
Mtandao unaonekana haupo stable nikiwa goojara tu, mbona kwingine vitu vinashuka faster kwa mtandao huohuo? When all factors are kept constant, goojara has got poor servers compared to other genuine sites.
Kwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.
Au huwenda internet speed yangu ni ya kobe halafu naona ipo normal[emoji16]. Hebu Reuben Challe atupe mrejesho nayeye maana ndio alinipa hili chaka
 
Kwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.
Au huwenda internet speed yangu ni ya kobe halafu naona ipo normal[emoji16]. Hebu Reuben Challe atupe mrejesho nayeye maana ndio alinipa hili chaka
Mi naitumia kuangalia movie online tu
Sijawahi kuitumia kudownload movie
 
Kwa kweli mkuu sijui shida itakuwa nini, maana mi mwenyewe naitumia sana hiyo goojara naona ipo poa. Tena huwa naweza kuzipanga hata movies 5 na nazipata vizuri tu.
Au huwenda internet speed yangu ni ya kobe halafu naona ipo normal[emoji16]. Hebu Reuben Challe atupe mrejesho nayeye maana ndio alinipa hili chaka
Tatizo nimeshalijua. Wengine tunashusha kupitia simu na mtandao huwa upo hivi
Screenshot_20230607-203954.png
 
Wakuu, mnatumia nini kudownload?! Binafsi nina IDM yani haijawahi kufeli. Tena kama upepo hizi movies za MB 600 mda mwingine robo saa tu tayari ishamaliza.
Labda itakuwa ni mtandao haupo stable. Sijawahi kukutana na hiyo changamoto. It works very fine with me!!
MB 600 robo saa bdo huo muda unaotumia ni mwingi

yaani unapata average ya MB 1.5 per second

Ama sawa na 12mbps

kawaida sanaa hyo speed ni level ya 3g.
 
Back
Top Bottom