korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
na hpo ilikuwa katika mazingira halisiApocalypto ni moja kati ya movies zilizochezwa vizuri sana, characters, mazingira na story vyote vilikuwa on point.View attachment 2658210
Sidhani kama Africa itakuja kufikia hatua hii kwenye uwekezaji wa movies, angalia mitambo ambayo ilitumika kuchukua video, hapo tunazungumzia 2006 huko.View attachment 2658211
Hakuna mambo ya green screen.na hpo ilikuwa katika mazingira halisi
Moja ya filamu kali za muda wote.Apocalypto ni moja kati ya movies zilizochezwa vizuri sana, characters, mazingira na story vyote vilikuwa on point.View attachment 2658210
Sidhani kama Africa itakuja kufikia hatua hii kwenye uwekezaji wa movies, angalia mitambo ambayo ilitumika kuchukua video, hapo tunazungumzia 2006 huko.View attachment 2658211
hii sio undisputed ya boyka ama prison break kweli?Kama unalijua hili jengo wewe mwambaView attachment 2658471
Iyo Fox river PBKama unalijua hili jengo wewe mwambaView attachment 2658471
On digital au kule kwenye sinema?Kesho si ndio kesho, mzigo unaingia hewani
Hivi hayo ma Avatar mnayapendea nini..? Sionagi kitu paleRelease date for upcoming avatar movies delay
-Avatar3 ilikuwa itoke december 2024 wameipeleka mpk dec 2025
-Avatar4 kutoka dec 2026 mpk dec 2029
-Avatar5 kutoka dec 2028 had dec 2031
Wewe ndo huonagi kitu ila mimi kwang ni nzuriHivi hayo ma Avatar mnayapendea nini..? Sionagi kitu pale
Hiyo movie ni US tu nadhan ndo wataiangalia theatre ila sehemu nyingine nadhan watastream tu kupitia netflix me nawasubir zang wezi fzmovies waende wakaiibe huko netflix watu tuipakueOn digital au kule kwenye sinema?
Naomba nitag kwenye hiyo post yenye hiyo program mkuu..Uliyopost hii program ubarikiwe sana now maenjoy ipo very smooth kwenye tv.umenifanya mpaka niende simba net kupata unlimited internet View attachment 2659135
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sasa kwakuwa niliangalia extractiom 1 na muda umeenda sana ngoja niipakue hii part 1 niirudie kwanza wakati tunasubiri hao marafiki zetu wezi watufanyie wepesiHiyo movie ni US tu nadhan ndo wataiangalia theatre ila sehemu nyingine nadhan watastream tu kupitia netflix me nawasubir zang wezi fzmovies waende wakaiibe huko netflix watu tuipakue
One stream sikujua kumbe hadi kwenye smart TV inafanya kaziUliyopost hii program ubarikiwe sana now maenjoy ipo very smooth kwenye tv.umenifanya mpaka niende simba net kupata unlimited internet View attachment 2659135
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
TV gani hii mkuu ni tcl??Uliyopost hii program ubarikiwe sana now maenjoy ipo very smooth kwenye tv.umenifanya mpaka niende simba net kupata unlimited internet View attachment 2659135
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Inafanya mkuu ila inahitaji elimu kidogo kuinstall kwenye tv.One stream sikujua kumbe hadi kwenye smart TV inafanya kazi