Must see Movies

Must see Movies

Steven seager anafahamika kwa move flan hivi huyu mzee natafuta move yyite yupo huyu mxee
 
Wakuu Kwema .
Help me

Ni hii movie ya kijana Mmoja Alikua anauza madawa ya Kulevya , alikua na Asili ya awatu wa Bara la Asia,baada akaja akakamatwa airport sijui nii ya nchi gani ,lakini baada mama yake anaonekana kufunga safati na kwneda kumsalimu akiwa Jela ...
Nilibagatika Pia kusikia Kauli Moja ya afisa akimuukiza Dogo, hiinilikua kwnye trailer sasa , Afisa akaukiza "do yoi knw the penalty for drug trafficking in this Country ? .

Hayo tu ndio nayakumbuka From that Trailer

Niliiona Kwnye Trailer zamani sana Dstv , Baadae Nikapoteza Jina lake mahala niliandika . Kwa kipind hicho haikua imetoka nadhani .

Inabase On True Story..

Nnachhitaji ni Kujua jina la Movie husika ili niweze kuitafuta.

Naamini hapa nitapata mdau/wadau wa kunisaidia kwa Hili .

Natanguliza Shukrani zangi.
 
Wakuuu msaada kuipata hii move
Screenshot_20170217-194821.png
Screenshot_20170217-194821.png
Screenshot_20170217-195617.png
 
Wakuu Kwema .
Help me

Ni hii movie ya kijana Mmoja Alikua anauza madawa ya Kulevya , alikua na Asili ya awatu wa Bara la Asia,baada akaja akakamatwa airport sijui nii ya nchi gani ,lakini baada mama yake anaonekana kufunga safati na kwneda kumsalimu akiwa Jela ...
Nilibagatika Pia kusikia Kauli Moja ya afisa akimuukiza Dogo, hiinilikua kwnye trailer sasa , Afisa akaukiza "do yoi knw the penalty for drug trafficking in this Country ? .

Hayo tu ndio nayakumbuka From that Trailer

Niliiona Kwnye Trailer zamani sana Dstv , Baadae Nikapoteza Jina lake mahala niliandika . Kwa kipind hicho haikua imetoka nadhani .

Inabase On True Story..

Nnachhitaji ni Kujua jina la Movie husika ili niweze kuitafuta.

Naamini hapa nitapata mdau/wadau wa kunisaidia kwa Hili .

Natanguliza Shukrani zangi.
Nazani waongelea "return to paradise "ila sina uhakika embu angalio hiyo.
 
Naombeni kufahamishwa kuna movie moja ya Science Fiction ilikuwa inaonyesha ITV enzi hizo, Ilikuwa kuna magari mawili ...yanafanana ila moja limezidi kidogo.... nachokumbuka ofisi au station zao zilikuwa undeground na walijaribu kuokoa familia moja ilipatwa na matatizo..... nahitaji jina
 
Back
Top Bottom