Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ipo cam subiria copy nzuri itoke
tayar imetoka clean nimeichek leo hii ... xanderBado ipo cam subiria copy nzuri itoke
Kwani imeshatoka Clear Version kwa sie wazee wa torrents?
Thanks mkuuHii bado aisee
Nazani waongelea "return to paradise "ila sina uhakika embu angalio hiyo.Wakuu Kwema .
Help me
Ni hii movie ya kijana Mmoja Alikua anauza madawa ya Kulevya , alikua na Asili ya awatu wa Bara la Asia,baada akaja akakamatwa airport sijui nii ya nchi gani ,lakini baada mama yake anaonekana kufunga safati na kwneda kumsalimu akiwa Jela ...
Nilibagatika Pia kusikia Kauli Moja ya afisa akimuukiza Dogo, hiinilikua kwnye trailer sasa , Afisa akaukiza "do yoi knw the penalty for drug trafficking in this Country ? .
Hayo tu ndio nayakumbuka From that Trailer
Niliiona Kwnye Trailer zamani sana Dstv , Baadae Nikapoteza Jina lake mahala niliandika . Kwa kipind hicho haikua imetoka nadhani .
Inabase On True Story..
Nnachhitaji ni Kujua jina la Movie husika ili niweze kuitafuta.
Naamini hapa nitapata mdau/wadau wa kunisaidia kwa Hili .
Natanguliza Shukrani zangi.