Must see Movies

....Hizi link matangazo kibao....yifytorrents yaani inanilazimisha ni book hotel reservation kwanza....aaaghhhhh🙁
 
Quality ipo vipi?

PUMBAVU WEWE UNAULIZA ILI UONEKANE NA WEWE UPO KAMA HAUPO AU..,,,???
UONEKANE UNAJUA MA WEBSITES MBELE YA KADAMNAS AU...!!!
Hilo swali lako limenikumbusha tukio moja
Jamaa kaenda msibani akawa analia kwa mayowe huku akimsifiaa saaanaaaa marehem
Matokeo yake akaambiwa aliekufa ni kitoto kichanga[emoji3][emoji3]
SASA NA WEWE UNANIULIZA QUALITY YAKE VIPI[emoji3][emoji3]
Mkuu HIO WEBSITE YA FZ MOVIES UNACHAGUA MWENYEWE OPTION UNAYOITAKA
FUNGUA KWANZA NDIO UHOJI SIO UNAHOJI WAKATI HATA COMPUTER HUIJUI[emoji3][emoji3]
 

wewe ndio unawaza hayo yote, mimi sina hata moja kati ya hayo ulioandika...

na sioni sababu yakuniita pumbavu, kama ungekua na hekima na busara hilo povu lote lisinge kutoka.
hiyo kijani ndio jibu niliokuwa nataka kutoka kwako.

computer ninaijua zaidi ya uzaniavyo wewe na zaidi uijuavyo wewe kwa taarifa yako na nikitu cha kawaida sana kwangu, jf tunachukulia easy sana, usipende kumjudge mtu husiye mfahamu.
 

Wewe usijitetee kinafiki kama uliyajua hayo vipi uulize ati ina QUALITY GANI[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe usijitetee kinafiki kama uliyajua hayo vipi uulize ati ina QUALITY GANI[emoji3][emoji3][emoji3]

Hakuna unafiki hapo wewe kubwa jinga, Lazima nijue quality iko vipi kwakuwa ulilopoka mwenyewe “zina size ndogo”

Torrent zote ninazozifaham hakuna hiyo kitu..

Jifunze kujibu
 
Hello guys nakumbuka zamani nilichek muvi moja hivi tukaiita komando kipensi. Naomba anaeifahamu jina lake halisi anikumbushe hapa nataka nikumbushie enzi zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…