Must see Movies

Must see Movies

2. Tafuta websites sasa zinazo upload movies au series kila nyakati... kuna websites nyingi zinazo upload movies/series. Ila binafsi napenda www.yifytorrents.com kwa jili ya movies kwa sababu 1 tu movies zake ni clear/FullHD/BluRay/720p au 1080p/size ya movies ni ndogo kwa maana ya MBs au GBs ni wewe na uwezo wako wa bundle sasa. Kuna www.limetorrents.com hapa utapata kila kitu Series/Movies/Games/Music/Apps/
....Hizi link matangazo kibao....yifytorrents yaani inanilazimisha ni book hotel reservation kwanza....aaaghhhhh🙁
 
Quality ipo vipi?

PUMBAVU WEWE UNAULIZA ILI UONEKANE NA WEWE UPO KAMA HAUPO AU..,,,???
UONEKANE UNAJUA MA WEBSITES MBELE YA KADAMNAS AU...!!!
Hilo swali lako limenikumbusha tukio moja
Jamaa kaenda msibani akawa analia kwa mayowe huku akimsifiaa saaanaaaa marehem
Matokeo yake akaambiwa aliekufa ni kitoto kichanga[emoji3][emoji3]
SASA NA WEWE UNANIULIZA QUALITY YAKE VIPI[emoji3][emoji3]
Mkuu HIO WEBSITE YA FZ MOVIES UNACHAGUA MWENYEWE OPTION UNAYOITAKA
FUNGUA KWANZA NDIO UHOJI SIO UNAHOJI WAKATI HATA COMPUTER HUIJUI[emoji3][emoji3]
 
PUMBAVU WEWE UNAULIZA ILI UONEKANE NA WEWE UPO KAMA HAUPO AU..,,,???
UONEKANE UNAJUA MA WEBSITES MBELE YA KADAMNAS AU...!!!
Hilo swali lako limenikumbusha tukio moja
Jamaa kaenda msibani akawa analia kwa mayowe huku akimsifiaa saaanaaaa marehem
Matokeo yake akaambiwa aliekufa ni kitoto kichanga[emoji3][emoji3]
SASA NA WEWE UNANIULIZA QUALITY YAKE VIPI[emoji3][emoji3]
Mkuu HIO WEBSITE YA FZ MOVIES UNACHAGUA MWENYEWE OPTION UNAYOITAKA
FUNGUA KWANZA NDIO UHOJI SIO UNAHOJI WAKATI HATA COMPUTER HUIJUI[emoji3][emoji3]

wewe ndio unawaza hayo yote, mimi sina hata moja kati ya hayo ulioandika...

na sioni sababu yakuniita pumbavu, kama ungekua na hekima na busara hilo povu lote lisinge kutoka.
hiyo kijani ndio jibu niliokuwa nataka kutoka kwako.

computer ninaijua zaidi ya uzaniavyo wewe na zaidi uijuavyo wewe kwa taarifa yako na nikitu cha kawaida sana kwangu, jf tunachukulia easy sana, usipende kumjudge mtu husiye mfahamu.
 
wewe ndio unawaza hayo yote, mimi sina hata moja kati ya hayo ulioandika...

na sioni sababu yakuniita pumbavu, kama ungekua na hekima na busara hilo povu lote lisinge kutoka.
hiyo kijani ndio jibu niliokuwa nataka kutoka kwako.

computer ninaijua zaidi ya uzaniavyo wewe na zaidi uijuavyo wewe kwa taarifa yako na nikitu cha kawaida sana kwangu, jf tunachukulia easy sana, usipende kumjudge mtu husiye mfahamu.

Wewe usijitetee kinafiki kama uliyajua hayo vipi uulize ati ina QUALITY GANI[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hello guys nakumbuka zamani nilichek muvi moja hivi tukaiita komando kipensi. Naomba anaeifahamu jina lake halisi anikumbushe hapa nataka nikumbushie enzi zile.
 
Hello guys nakumbuka zamani nilichek muvi moja hivi tukaiita komando kipensi. Naomba anaeifahamu jina lake halisi anikumbushe hapa nataka nikumbushie enzi zile.
55e39f945bd9b825f7108c7183a29dbf.jpg
 
Back
Top Bottom