Must see Movies

Must see Movies

Iko uwais jamaa na balaa huyuu khaa... Ngoja antafuta movie zake zotee...
Kuna merantau
The raid: redemption
Raid 2
Headshot
Night comes for us
Na kuna hii inaitwa triple threat japo cdhani kma imetoka jamaa ni noma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eehe sasa bora njiani kungekuwa na mikiki mikiki ya maana naona action moja kama sio mbili..!! Ilibadi iwe na mkono zaidi akiwa njiani kurudi home coz kama ni story mbona anatembea tu just na mbwa njia nzima... Sema kila mtu na upendeleo wake.. But kwangu ni Movie Mbayaaa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], action kubwa Ni yule mbwa kuzaa mwishoni
 
Aise umeona eehe mkuu...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na kale katoto kupigwa pembe na Ng'ombe.. Ujinga mtupu uleee...
Mi nlivoiona trailer nkajua ni balaa zaidi hata ya apocalypto, kuja kuiangalia nilijutia mbs zangu
 
BAK una utoto mwingu, movie gani sasa hizo? Poa, watoto wenzako wataangalia
 
A stone cold Christmas, bad times at the El Royale, Johnny English strikes again
 
Hii alpha nilitaka kuipakua ila ngoja niiache, inaonekana si nzito sana kwa maoni ya wadau hapa
 
Back
Top Bottom