Must see Movies

Must see Movies

Hii ngoma Kama sikosei unaseme muvi inaitwa SAVIOR ni mercenary wanakwenda kwenye vita vya chechnia halafu jamaa Yuko na partner wake anataka kumshoot mjamzito anayetaka kujifungua,jamaa inabidi amshuti partner wake then aanze kupambana kumuokoa huyo mama na mtoto wake,anafanikiwa ila ndio mama wa mtoto anapigwa nyundo ya kichwa pamoja na mateka wengine alipokamatwa akiwa ammenda kusaka msaada town
Shukran sana mkuu
 
Oyaa... Mtumoja anipe movie la kivita Kali sana la huko Afghanistan nidownload chap niangalie usiku huu
 
Kuna picha moja la ma Alien [emoji89] wanakuja na li dege lao la duara huku duniani alafu linakaa juu linatoa mwanga mkali ukiangalia tu ule mwanga unavutwa juu unaenda ndani ya hilo dege unatolewa ubongo alafu ubongo huo wanawekewa ma Alien wengine wanao tengenezwa maabara.

Anae ijua tafadhali anikumbushe jina nimelisahau
 
Sijaiona lkn.
Screenshot_20220625-170352_Netflix.jpg
 
Mwenye chanel ya kudownload animation telegram msaada tafadhali.
 
Mwenye link ya movie ya salo 120 days of Sodom please nashindwa kuipata
 
Back
Top Bottom