NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,875
- 12,595
SaaaaaanaKafa kishamba kinoma..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SaaaaaanaKafa kishamba kinoma..
Mkuu sio HomelandKuna picha moja la ma Alien [emoji89] wanakuja na li dege lao la duara huku duniani alafu linakaa juu linatoa mwanga mkali ukiangalia tu ule mwanga unavutwa juu unaenda ndani ya hilo dege unatolewa ubongo alafu ubongo huo wanawekewa ma Alien wengine wanao tengenezwa maabara.
jina tu ndio nimelisahau
WAR OF THE WORLDS: BY TOM CRUISEKuna picha moja la ma Alien [emoji89] wanakuja na li dege lao la duara huku duniani alafu linakaa juu linatoa mwanga mkali ukiangalia tu ule mwanga unavutwa juu unaenda ndani ya hilo dege unatolewa ubongo alafu ubongo huo wanawekewa ma Alien wengine wanao tengenezwa maabara.
jina tu ndio nimelisahau
Asante mkuu lakini mbona hakuna kitonga kwenye mb?Kuna app inaitwa AZ Movie ina Movie nyingi na free jaribuni kuitumia na ni raisi kutumia ingia play store utaikuta iko hivi View attachment 2293757 ukisha ipakuwa una sign utakuta list ya Movie nyingi mfano hiyapo hobbit View attachment 2293758 alafu unabonyeza kitufe cha download inakuleta apoView attachment 2293761 alafu mimi nikabonyeza kitufe cha download with magnet inaleta hivi View attachment 2293766 hapo ni wewe tu kuchagua quality mchezo unakuwa umeisha
Gb 3 hapa kwa kweli. Netnaija ndo mpango.Kuna app inaitwa AZ Movie ina Movie nyingi na free jaribuni kuitumia na ni raisi kutumia ingia play store utaikuta iko hivi View attachment 2293757 ukisha ipakuwa una sign utakuta list ya Movie nyingi mfano hiyapo hobbit View attachment 2293758 alafu unabonyeza kitufe cha download inakuleta apoView attachment 2293761 alafu mimi nikabonyeza kitufe cha download with magnet inaleta hivi View attachment 2293766 hapo ni wewe tu kuchagua quality mchezo unakuwa umeisha
Iyo app sio ya kulipia kwahiyo wenyewe wanapata pesa kupitia mb zako ndo maana ziko juu alafu quality kali na Movie za maana zote zipoAsante mkuu lakini mbona hakuna kitonga kwenye mb?
Korean movieZenye muelekeo upi? Wengine wanapenda zenye uchawi na nguvu za asili(dr. Strange favour) huku wengine tukipenda zenye mkong'oto kutumia akili na zilizojaa hila za kijasusi na upelelezi. Wewe unapenda zipi
Wewe Movie zote kali wanazo hawana pay subscribe wenyewe pesa ndo mb zakoGb 3 hapa kwa kweli. Netnaija ndo mpango.
Korean Movie hazina mzukaKorean movie
Hizo vijana mlenda mlenda sura kama dada zao sinaga time nazoKorean movie
Sure sio kaliHizo vijana mlenda mlenda sura kama dada zao sinaga time nazo
Yes yes thank you brother [emoji120][emoji120]WAR OF THE WORLDS: BY TOM CRUISEView attachment 2293584
Ni war of. The world's kuna mdau kanikumbushaMkuu sio Homeland
man from toronto, hart harrelson
Msaada wa zile movies zenye maudhui ya kutoroka gerezani kama ile series ya PB
Dr. Giggles ,the dentist, blood relation,the skin,body part,re-animator, anatomy,visiting hour,brain dead,the island of dr. Moreau and etc zote hizo ni za haina hiyo
YaahUsisahau na GET OUT