Must see Movies

Must see Movies

Farzi umeicheki?
Yes mimi piah niliacha kuwafuatilia kwasabb hiyo mala mtu anadaka ndege anairusha juuu, chukua mzigo mwingine huu hapa wa mwaka huu story yake na action ni nzuri



No Guts No Glory

A gang goes to rob a bank only to find that there's already a criminal mastermind holding it for ransom, but his identities and motives behind the heist remains mysterious. As they plan to collect the bounty and disappear without a trace, their crimes and their past slowly catches up with them.

View attachment 2528857
 
Naisubiri season 2 kwa hamu sana. India kwenye story wako poa sana humo ndani wamefanya unyama sana. Hiyo Farzi kuna kipindi nilikuwa naicheki yanakuja mawazo na mimi nitengeneze mzigo wa Farzi yaani ilifikia nikaishika noti ya 10k nikaichunguza kwa umakini sana.

Mkuu icheki Thunivu imetoka mwaka huu, ni hatari sana.
Farzi a.k.a Fake tamu sana
 
Naisubiri season 2 kwa hamu sana. India kwenye story wako poa sana humo ndani wamefanya unyama sana. Hiyo Farzi kuna kipindi nilikuwa naicheki yanakuja mawazo na mimi nitengeneze mzigo wa Farzi yaani ilifikia nikaishika noti ya 10k nikaichunguza kwa umakini sana.

Mkuu icheki Thunivu imetoka mwaka huu, ni hatari sana.
Nilikuwa nataka kudownload RRR baada ya kukaa miaka 3 bila kuangalia muvi ya Kihindi lakini kila nikitaka kufanya uamuzi nafsi inanisuta sana na kunikumbusha bando nililochoma miaka mitatu iliyopita kisa hawa jamaa.
Ikabidi niangalie trailer lake kwanza. Nimeona bado Wahindi hawajabadilika, yaani sehemu za action kama kawaida yao ni Slow Motion mwanzo mwisho, halafu nikaona kuna mtu kaikanyaga pikipiki kwa nguvu kisha ikaruka hewani na ikazunguka juu kwa juu round moja halafu akaituliza chini, nikaghairi hapohapo kuidownload [emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nataka kudownload RRR baada ya kukaa miaka 3 bila kuangalia muvi ya Kihindi lakini kila nikitaka kufanya uamuzi nafsi inanisuta sana na kunikumbusha bando nililochoma miaka mitatu iliyopita kisa hawa jamaa.
Ikabidi niangalie trailer lake kwanza. Nimeona bado Wahindi hawajabadilika, yaani sehemu za action kama kawaida yao ni Slow Motion mwanzo mwisho, halafu nikaona kuna mtu kaikanyaga pikipiki kwa nguvu kisha ikaruka hewani na ikazunguka juu kwa juu round moja halafu akaituliza chini, nikaghairi hapohapo kuidownload [emoji23][emoji23]
Kana kwamba anacheza mpira wa miguu
 
Dude lina MB 450
Nilikuwa nataka kudownload RRR baada ya kukaa miaka 3 bila kuangalia muvi ya Kihindi lakini kila nikitaka kufanya uamuzi nafsi inanisuta sana na kunikumbusha bando nililochoma miaka mitatu iliyopita kisa hawa jamaa.
Ikabidi niangalie trailer lake kwanza. Nimeona bado Wahindi hawajabadilika, yaani sehemu za action kama kawaida yao ni Slow Motion mwanzo mwisho, halafu nikaona kuna mtu kaikanyaga pikipiki kwa nguvu kisha ikaruka hewani na ikazunguka juu kwa juu round moja halafu akaituliza chini, nikaghairi hapohapo kuidownload [emoji23][emoji23]
 
Naisubiri season 2 kwa hamu sana. India kwenye story wako poa sana humo ndani wamefanya unyama sana. Hiyo Farzi kuna kipindi nilikuwa naicheki yanakuja mawazo na mimi nitengeneze mzigo wa Farzi yaani ilifikia nikaishika noti ya 10k nikaichunguza kwa umakini sana.

Mkuu icheki Thunivu imetoka mwaka huu, ni hatari sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuwa kama artist....hiyo thunivu ngoja niishushe nilikuwa nahofia kuchoma MBs zangu
 
Nilikuwa nataka kudownload RRR baada ya kukaa miaka 3 bila kuangalia muvi ya Kihindi lakini kila nikitaka kufanya uamuzi nafsi inanisuta sana na kunikumbusha bando nililochoma miaka mitatu iliyopita kisa hawa jamaa.
Ikabidi niangalie trailer lake kwanza. Nimeona bado Wahindi hawajabadilika, yaani sehemu za action kama kawaida yao ni Slow Motion mwanzo mwisho, halafu nikaona kuna mtu kaikanyaga pikipiki kwa nguvu kisha ikaruka hewani na ikazunguka juu kwa juu round moja halafu akaituliza chini, nikaghairi hapohapo kuidownload [emoji23][emoji23]
Iangalia kaka [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]ukiachana na mtu kurusha pikipiki movie inastory nzuri sana
 
Hey pipo.

Kwa wale ambao wanaweza kuangalia movies za story basi angalieni hii muvi.

Iko vizuri sana

4hcmwarriors-20230302-0001.jpg
 
Nilikuwa nafuatilia series ya mwaka jana inaitwa "1899". Hii series ina story nzuri sana ya kufikirisha lakini nilipofika episode ya pili nikaona scene ya ushoga. Nikaishia hapohapo nikafuta na episode zote mbili ila bila ushoga series ilikuwa inaelekea kuwa tamu. Siku hizi Netflix wanapenda sana LGBT sijui shida nini. Bahati mbaya Hadi Wakorea nao wanaonesha huu ushenzi katikati ya muvi zao kama Project Wolf au series zao kali kama Squid Game.

Nikaona sio mbaya, nimeona kila mtu anaisifia Cobra Kai ingawa imefika season 4 sijui 5 na mimi nikaamua nianze nayo Season 1 na season 4 nitaifikia muda sio mrefu, maana episode zake zina MB chache sana halafu episode moja ni nusu saa tu. Huu mzigo binafsi nimeuelewa. Naendelea nao sasahivi. Hao 1899 wabaki na ushoga wao.
 
Back
Top Bottom