Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😐Thanks bro and you too
Hata usimamizi haukuwa mzuri angedumu kwenye game. Kuanzia pale Msamvu na Kilosa walijaa ndugu, wakachangia kuua kampuniTajiri yule wa mabasi baloteli wakati anafanya mpango kuyapeleka huko nlimshauri
Sema yule tajiri smbdy kiheleni
Alimuoa bint mmoja wa kiarabu mixer wako hapo mvumi
Si unajua jamaa alitaka kuonesha ubavu wake...ukweni
Ova
Yule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereniHata usimamizi haukuwa mzuri angedumu kwenye game. Kuanzia pale Msamvu na Kilosa walijaa ndugu, wakachangia kuua kampuni
Kazi ganiYule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereni
Sema naye miaka 2 nyuma alikutana na kisanga fulani sasa sjui ametoka 😄 au
Mara mwisho nlikutana naye tulikuwa kwenye mghahawa wa wakwe zake pale mvumi tunapiga chai huku mimi najianda kwenda shambani maeneo ya mangombole kipindi hicho nalimq vitunguu huko
Si unajua mabaharia wote wanajuana,ila jamaa alikuwa na kazi ya pembeni ilikujaga mgarimu hadi akadakwa,hiyo nayo ikampoteza kabisaaa
Ova
Sidhani kama ni hhuyu,alietoa hiyo kauli ni Bwana Pesambili MrambaNdege ya Raise itanunuliwa hasta wananchi wakila nyasi. Mungu ampe pumziko la mile.
We acha hoja za uchama,Mbona wanaokula za join the chain nao hufariki.Waziri wa fedha naeanafariki kumbe...
Sasa kwanini kuifisadi nchi....
CCM kwanini hamjifunzi!??
Hawa wanatumia pesa nyingi utadhani wataishi milele. Huyu jamaa alipiga pesa pale nssf akiwa dg na akaenda kufanya kufuru wizara ya fedha. Nothing is permanentAliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Taarifa ya Maziko ya Mhe Mustafa H. Mkulo kuzikwa saa 7:30 Mchana katika Makaburi ya Kimamba, Wilayani Kilosa Jumapili 5 Mei 2024. Msiba uko nyumbani kwake Bomani Kilosa na Sala ya Maiti Kufanyika Msikiti wa Uhindini.
View attachment 2980984
Wapuuzi hawaUzi ufungwe, umemaliza mkuu
Wanajiona watakatifu sana
Kwaiyo kwakua hatuishi milele tusiEnjoy life? Na kuspend tusispend au sio!Hawa wanatumia pesa nyingi utadhani wataishi milele. Huyu jamaa alipiga pesa pale nssf akiwa dg na akaenda kufanya kufuru wizara ya fedha. Nothing is permanent
Nampata sana Mpwa wake ni rafiki yanguYule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereni
Sema naye miaka 2 nyuma alikutana na kisanga fulani sasa sjui ametoka 😄 au
Mara mwisho nlikutana naye tulikuwa kwenye mghahawa wa wakwe zake pale mvumi tunapiga chai huku mimi najianda kwenda shambani maeneo ya mangombole kipindi hicho nalimq vitunguu huko
Si unajua mabaharia wote wanajuana,ila jamaa alikuwa na kazi ya pembeni ilikujaga mgarimu hadi akadakwa,hiyo nayo ikampoteza kabisaaa
Ova
Aliyesema hivyo alikuwa marehemu Basil Mramba akiwa waziri wa fedha wa awamu ya tatu.Ndege ya Raise itanunuliwa hasta wananchi wakila nyasi. Mungu ampe pumziko la mile.
Ni Flomi sio Ulomi...Sina hakika km ni yake.Huyu ndo mwenye hotel kubwa pale Msamvu morogoro inaitwa Ulomi?? Kumbe wanaotuibia nao hufa?
Tusiibie wengine ili tufurahi na wao watesekeKwaiyo kwakua hatuishi milele tusiEnjoy life? Na kuspend tusispend au sio!
Hawa wamekula neema za nchiTusiibie wengine ili tufurahi na wao wateseke
Apumzike kwa amani
Mabwakuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh, mtu ypo kitandani miezi mitatu we useme ivo