TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

Tajiri yule wa mabasi baloteli wakati anafanya mpango kuyapeleka huko nlimshauri
Sema yule tajiri smbdy kiheleni
Alimuoa bint mmoja wa kiarabu mixer wako hapo mvumi
Si unajua jamaa alitaka kuonesha ubavu wake...ukweni

Ova
Hata usimamizi haukuwa mzuri angedumu kwenye game. Kuanzia pale Msamvu na Kilosa walijaa ndugu, wakachangia kuua kampuni
 
Hata usimamizi haukuwa mzuri angedumu kwenye game. Kuanzia pale Msamvu na Kilosa walijaa ndugu, wakachangia kuua kampuni
Yule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereni
Sema naye miaka 2 nyuma alikutana na kisanga fulani sasa sjui ametoka 😄 au
Mara mwisho nlikutana naye tulikuwa kwenye mghahawa wa wakwe zake pale mvumi tunapiga chai huku mimi najianda kwenda shambani maeneo ya mangombole kipindi hicho nalimq vitunguu huko
Si unajua mabaharia wote wanajuana,ila jamaa alikuwa na kazi ya pembeni ilikujaga mgarimu hadi akadakwa,hiyo nayo ikampoteza kabisaaa

Ova
 
Yule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereni
Sema naye miaka 2 nyuma alikutana na kisanga fulani sasa sjui ametoka 😄 au
Mara mwisho nlikutana naye tulikuwa kwenye mghahawa wa wakwe zake pale mvumi tunapiga chai huku mimi najianda kwenda shambani maeneo ya mangombole kipindi hicho nalimq vitunguu huko
Si unajua mabaharia wote wanajuana,ila jamaa alikuwa na kazi ya pembeni ilikujaga mgarimu hadi akadakwa,hiyo nayo ikampoteza kabisaaa

Ova
Kazi gani
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.


====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.

Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.

Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO

View attachment 2980376
Taarifa ya Maziko ya Mhe Mustafa H. Mkulo kuzikwa saa 7:30 Mchana katika Makaburi ya Kimamba, Wilayani Kilosa Jumapili 5 Mei 2024. Msiba uko nyumbani kwake Bomani Kilosa na Sala ya Maiti Kufanyika Msikiti wa Uhindini.
View attachment 2980984
Hawa wanatumia pesa nyingi utadhani wataishi milele. Huyu jamaa alipiga pesa pale nssf akiwa dg na akaenda kufanya kufuru wizara ya fedha. Nothing is permanent
 
Hawa wanatumia pesa nyingi utadhani wataishi milele. Huyu jamaa alipiga pesa pale nssf akiwa dg na akaenda kufanya kufuru wizara ya fedha. Nothing is permanent
Kwaiyo kwakua hatuishi milele tusiEnjoy life? Na kuspend tusispend au sio!
 
Yule mmiliki alikuwa Bisho mtu mzima naye...mzee mzima unavaa hereni
Sema naye miaka 2 nyuma alikutana na kisanga fulani sasa sjui ametoka 😄 au
Mara mwisho nlikutana naye tulikuwa kwenye mghahawa wa wakwe zake pale mvumi tunapiga chai huku mimi najianda kwenda shambani maeneo ya mangombole kipindi hicho nalimq vitunguu huko
Si unajua mabaharia wote wanajuana,ila jamaa alikuwa na kazi ya pembeni ilikujaga mgarimu hadi akadakwa,hiyo nayo ikampoteza kabisaaa

Ova
Nampata sana Mpwa wake ni rafiki yangu
 
Back
Top Bottom