Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Rudewa Batini,Ilonga,Mazinyungu mpaka ManzeseRudewa,madoto,kimamba
Inawahusu hiyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudewa Batini,Ilonga,Mazinyungu mpaka ManzeseRudewa,madoto,kimamba
Inawahusu hiyo
Ova
Naona yule aliyekuwa katibuUmechanganya files huyo ni Mramba, na ilikuwa wakati wa Mmakonde Nkapa .Mramba nayeye alikwisha ondoka
Lami imeishia pale Rudewa Darajani baada ya Kijiji cha Gongoni ukitoka MvumiBarabara ya Rudewa kwenda Kimamba hadi leo haina lami mkuu
Ilonga msalabani ndy ilikuwa sehemu yangu ya kwenda kutuliaRudewa Batini,Ilonga,Mazinyungu mpaka Manzese
Sasa gongoni hapo nlikuwa nakuallaa juu kuna kambi moja nlikuwa nayo mitaa ya unone mlimani hukoLami imeishia pale Rudewa Darajani baada ya Kijiji cha Gongoni ukitoka Mvumi
LiNdo nani huyu asee
R.I.P
Pale Ar. Ana bonge la gorofa refu balaa,hizi pesa zikiwa mingi saidia wenye shida.Naona yule aliyekuwa katibu
Muda sana yuko hoi mtu wa
Kubebwa,kutembea mpk wheelchair,yaani mipesa inayo
Lkn unaishi kimateso
Ova
Sisi waislam wa Tandamti tunazika siku hiyo hiyo.Sasa mkuu, Prof. alikuwa na maeneo mawili ya kuishi unataka azikwe kama kajambanani ? Anaswaliwa kwanza hapo Mikocheni, then safari ya kwenda Kilosa ambako obvious wanafika jioni kama siyo usiku sasa unataka azikwe usiku usiku?
Wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na zisikusaidie..kama unavyotarajiaPale Ar. Ana bonge la gorofa refu balaa,hizi pesa zikiwa mingi saidia wenye shida.
So kwamba wanaenda Bali watu wanazeeka, waliohudumu serikali ya mkwere almost wote sasa hivi wanakimbilia 70+,80 sasa huo umri unachangamoto nyingi za kiafya has a kwa haya maisha ya mjini, kwa vijijin hakuna shida.
Allah ampe kauli thabiti amuepushie adhabu ya kaburi!
Nyumbu wanajua Lisu hafi
Siku akifa Lissu sijui watasemaje🙂
Nyumbu wanajua Lisu hafi
ako ndio Kiswahili cha wapi hicho?Kwani ako na madhara gani kwa wananchi?...
Siku akifa Lissu sijui watasemaje🙂
Ulikutana naye wapi?😎...Mungu ni zaidi ya Fundi Mchundo na Mhandisi...
Hapama op. nilichomaanisha vijijini wazee wenye hiyo miaka wengi ni wazima na wanaenda shamba kama kawaida, pressure. Kisukari hawana.Kwa hiyo tuwashauri watu wakistaafu wakaishi kijijini au vipi ?! 🤷♂️🤷♂️ 😛😛
Naona itakuwa imekaa vizuri.