Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
hqpo ajaandika qwamu ya nne??Ungetaja awamu na jina la rais aliyemtumikia ingefaa zaidi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hqpo ajaandika qwamu ya nne??Ungetaja awamu na jina la rais aliyemtumikia ingefaa zaidi .
Umechelewa sana, kina Mzee Mmasi tayari wameshapita nayo mirathi ya marehemu, wameshajimilikisha!!Niwahi Kimbinyiko tukagombee mirathi sasa.
R.I.P Mkullo
Huyo mbinafsi sana,ameshindwa kutumia ushawishi wake na nguvuBarabara ya Rudewa kwenda Kimamba hadi leo haina lami mkuu
Pumzika Mkulo. Lakini ni funzo kwa viongozi wetu walio hai kwamba safari yetu wote ya mwisho ni kifo. Hata uwaibie namna Gani Watanzania, mwishowe utakufa tu. Hakuna haja ya kuiba .zaidi Jenga nchi yako .Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Isiwe tabu, wewe sema amekubaliwa. Ngoma droo.Chadema watakwambia amekataliwa na Mungu
Thank you for your serviceAliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Marehemu hasemwi vibaya,mwenye kuhukumu ni ALLAH,tumuachie yeye Muumba wetu jukumu iloFisadi hilo
Yaani miaka 78 unaona Kafa mdogo huyo? Kuwa na aibu aisee! Wee mwenyewe hapo hata 50 hujafika lakini afya mgogoro! Huyo kala chumvi na namshukuru sana Mungu amefaudu mema ya nchi!Maradhi,kutwa uko kwenye v8,hupigi tizi, kulakula na kutomb ovy...lzm ungoke
Ova
Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele umwangazie.Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
====For English Audience Only====
Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.
Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.
Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Kuna siku akiwa waziri wa fedha nilimkuta new Africa hotel yuko na roast tamu nikasema ee ntu za dili wanachora ramani wampige mama tz.Kipindi nnapiga harakati zangu hapo wilaya ya kilosa,nshajaribu sn kumgumia kuongea naye kuhusu masuala mbalimbali
Ya hapo lkn mambo yakawa yanaishia hewani tu
Ova
Kama kweli aliyafanya hayo uliyoandika na ameishi miaka hiyo 78 basi amefanikiwa.Maradhi,kutwa uko kwenye v8,hupigi tizi, kulakula na kutomb ovy...lzm ungoke
Ova
Kuna baharia mmoja mwanangu sana alipelekaga basi zake zilikuwa zinaitwa baloteli mbona zilikuja jutaKabisa inawahusu ,Rudewa njia panda kuitafuta Kimamba ile njia nilipita around 2010 ilikuwa haina lami ,nadhani kwa sasa washaweka.....Pongezi kwa tajiri Al-sayeed japo njia ilikuwa mbovu alipeleka basi zake.
So kwamba wanaenda Bali watu wanazeeka, waliohudumu serikali ya mkwere almost wote sasa hivi wanakimbilia 70+,80 sasa huo umri unachangamoto nyingi za kiafya has a kwa haya maisha ya mjini, kwa vijijin hakuna shida.Dih huu mwakaa wanaendaa aise sijui nani nxty