TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

Attachments

  • Screenshot_20240504-113059_Chrome.jpg
    Screenshot_20240504-113059_Chrome.jpg
    314.2 KB · Views: 2
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

====For English Audience Only====

Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.





Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.


Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Pumzika Mkulo. Lakini ni funzo kwa viongozi wetu walio hai kwamba safari yetu wote ya mwisho ni kifo. Hata uwaibie namna Gani Watanzania, mwishowe utakufa tu. Hakuna haja ya kuiba .zaidi Jenga nchi yako .
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

====For English Audience Only====

Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.





Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.


Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Thank you for your service
 
إِنَّا ِلِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ, ʾinnā li-llāhi wa-ʾinnā ʾilayhi rājiʿūna
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

====For English Audience Only====

Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.





Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.


Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele umwangazie.
 
Kabisa inawahusu ,Rudewa njia panda kuitafuta Kimamba ile njia nilipita around 2010 ilikuwa haina lami ,nadhani kwa sasa washaweka.....Pongezi kwa tajiri Al-sayeed japo njia ilikuwa mbovu alipeleka basi zake.
Kuna baharia mmoja mwanangu sana alipelekaga basi zake zilikuwa zinaitwa baloteli mbona zilikuja juta
Inabidi waweke pia lami mpaka kwenda kimamba na ukitokea melela mikumi unaingia hadi kilosa nayo waweke lami....
Kilosa sahv syo kama ya zamani

Ova
 
Dih huu mwakaa wanaendaa aise sijui nani nxty
So kwamba wanaenda Bali watu wanazeeka, waliohudumu serikali ya mkwere almost wote sasa hivi wanakimbilia 70+,80 sasa huo umri unachangamoto nyingi za kiafya has a kwa haya maisha ya mjini, kwa vijijin hakuna shida.
 
Back
Top Bottom