TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

Kuna baharia mmoja mwanangu sana alipelekaga basi zake zilikuwa zinaitwa baloteli mbona zilikuja juta
Inabidi waweke pia lami mpaka kwenda kimamba na ukitokea melela mikumi unaingia hadi kilosa nayo waweke lami....
Kilosa sahv syo kama ya zamani

Ova
Baloteli zilitamba kidogo ila naona hakua mjanja biashara ya huko ikamshinda
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

====For English Audience Only====

Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.





Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.


Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376


Tupe historia ya maisha yake kiufupi, amezaliwa wapi, amesoma wapi, familia yake, kazi alizofanya, kwanini alitengulliwa uwaziri wafedha.
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.

Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

====For English Audience Only====

Former Minister of Finance and Member of Parliament for Kilosa in Morogoro region, Mustafa Haidi Mkulo has passed away while receiving treatment at Muhimbili National Hospital.





Mkulo served as a Minister in the Fourth Government but was removed from his position after President Jakaya Kikwete made changes to the Cabinet.


Pia Soma: The case against MUSTAFA MKULO
View attachment 2980376
Huyu ndo mwenye hotel kubwa pale Msamvu morogoro inaitwa Ulomi?? Kumbe wanaotuibia nao hufa?
 
Huyu ndo mwenye hotel kubwa pale Msamvu morogoro inaitwa Ulomi?? Kumbe wanaotuibia nao hufa?
Haya sasa, watu hawanasubira msiba uishe kwanza. Haya ndiyo matokeo ya kuwa na sifa mbovu katika uongozi. Heshima hakuna.
 
Alishawahi pigwa FATAKi moja na Zitto(yule sio huyu wa sasa) bungeni kuhusu Ufisadi wa viwanja kama sijakosea,mwenzio Zitto aliweka rehani Ubunge wake,Mkullo yeye akaishia kucheka cheka tu..
 
Alishawahi pigwa FATAKi moja na Zitto(yule sio huyu wa sasa) bungeni kuhusu Ufisadi wa viwanja kama sijakosea,mwenzio Zitto aliweka rehani Ubunge wake,Mkullo yeye akaishia kucheka cheka tu..
RIP mzee Mkulo.

Hata hivyo utakuwa umeishaangalia filamu za Godfather au Good Fella’s au Sopranos.

Nchi yetu ndivyo inavyoendeshwa kwa kutumia ule mfumo wa Kleptokrasia.

Marehemu Mkulo, Ramadhani Dau, Marehemu Ditto, Uiso, Janguo, Kitwana Kondo na mazee wengine hawa ndo wenye kuhakikisha lile gurudumu liitwalo Cashcow lajitosheleza miaka nenda rudi.

Mzee wa MSG ndio King Don.

Ubunge kwa watu hawa ni mwamvuli wa kuziba mambo yao na hapo hutasikia barabara imejengwa huko unakosema.
 
Back
Top Bottom