Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuona ahujui hata kusoma tu Soma kwanza uulizeAwamu gani alikuwa.
Rudewa,madoto,kimamba
Inawahusu hiyo
Ova
Mkuu we mzalendo pambana uwe masikini haswa ili upate kuishi milele,nyie mafukara wazalendo huwa hamfi kbisa,Alipiga hela sana alipokuwa nssf huyu mzee,na alikuwa corrupt sana najuwa marehemu hasemwi
Ila Acha watu waseme
Ova
Cardiovascular inatuondoa si mchezo !Ckuhiz wotee muhimbili r.i.p mh
Weka wekaa historia njemaa dunianCardiovascular inatuondoa si mchezo !
Kila mtu na siku yake !!
Tuishi kwa wema ! Duniani tunapita tu !
Wewe ndiyo hamnazo, Mkulo ni Muslim, tambua taratibu za muslimsKichwa chako kina matope? Mtu kafariki usiku wa kuamkia Leo sasa mazishi yamechelewaje?
Jirani Wa kimaslahi kaondoka... Pole na wewe.Rip
Pole kijana Haroun kwa msiba huu
Weee thubutu 😄Niwahi Kimbinyiko tukagombee mirathi sasa.
R.I.P Mkullo
Kabisa,hata ukingoka watu wakuzungumzie kwa mazuriWeka wekaa historia njemaa dunian
Barabara ya Rudewa kwenda Kimamba hadi leo haina lami mkuuKabisa inawahusu ,Rudewa njia panda kuitafuta Kimamba ile njia nilipita around 2010 ilikuwa haina lami ,nadhani kwa sasa washaweka.....Pongezi kwa tajiri Al-sayeed japo njia ilikuwa mbovu alipeleka basi zake.
Ungetaja awamu na jina la rais aliyemtumikia ingefaa zaidi .Kuona ahujui hata kusoma tu Soma kwanza uulize