Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini