Musukuma ashangaa kuwaona mitaani wanaoeneza taharuki sakata la bandari, ataka hatua zichukuliwe

Musukuma ashangaa kuwaona mitaani wanaoeneza taharuki sakata la bandari, ataka hatua zichukuliwe

ccm watakupiga mawe wanakuambia sisi hatuwezi, bora tuuze tupate pesa chap kwa haraka tujikalie kwenye viyoyozi.
Hakuna kilichouzwa !! Hii ni baada ya wizi mwingi na ubadhirifu mwingi kuendelea kufanyika hapo bandarini kwa miaka nenda rudi na hata walivyokuwa wakitumbuliwa lakini bado mambo yaliendelea kuwa vilevile !!

Hitimisho wakubwa wakaona sasa itabidi tutafute wabia wa kutusaidia kuiendesha Bandari !!

Walioathirika poleni sana kuimba ni kupokezana !!
 
Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.

Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini

ukiangalia mdomo wake huyo jamaa, ni kama nyonya damu. alishajitangazaga kwamba yeye kule geita ni "kiti" yaani mkuu wa anga wa kichawi. ndicho anachoringia, akili hana na hana kingine chochote anachojiamini zaidi ya uchawi. alipoongea hivy, na kuangalia sura yenyewe kamdomo kalivyokaa kichawichawi, niliamini maneno yake.
 
Nasikia liliomba uraia wa dubai likanyimwa walimrudishia majibu kuwa ni binadamu tu ndio wanaweza kuwa raia wa dubai nilishangaa sana sasa sijajua jamaa ni kiumbe gani
 
Back
Top Bottom