imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Naunga mkono uwekezaji BandariniTatizo ni vipengele vya mkataba na sio ufanisi wa mwekezaji , tatizo mnachepusha hoja ndo mana mnawaza kuanza kamata kamata ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono uwekezaji BandariniTatizo ni vipengele vya mkataba na sio ufanisi wa mwekezaji , tatizo mnachepusha hoja ndo mana mnawaza kuanza kamata kamata ,
Hakuna kilichouzwa !! Hii ni baada ya wizi mwingi na ubadhirifu mwingi kuendelea kufanyika hapo bandarini kwa miaka nenda rudi na hata walivyokuwa wakitumbuliwa lakini bado mambo yaliendelea kuwa vilevile !!ccm watakupiga mawe wanakuambia sisi hatuwezi, bora tuuze tupate pesa chap kwa haraka tujikalie kwenye viyoyozi.
One mistake one goal !! Everything is happening for a reason. !!Halafu Wana CCM walivyokuwa wa ajabu hawajafikiria siku watu wa hiyo idara wakiwabadilikia tayari wamewapa Kinga
ukiangalia mdomo wake huyo jamaa, ni kama nyonya damu. alishajitangazaga kwamba yeye kule geita ni "kiti" yaani mkuu wa anga wa kichawi. ndicho anachoringia, akili hana na hana kingine chochote anachojiamini zaidi ya uchawi. alipoongea hivy, na kuangalia sura yenyewe kamdomo kalivyokaa kichawichawi, niliamini maneno yake.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini