Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Huyu jamaa mbona mnampa airtime sana wakat anaongea upumbavu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni Musukuma kuwa Watanzania wanaishangaa TAKUKURU kwa nini Musukuma yupo mtaani huku ana tuhuma ya kuhongwa gari V8, dola 50,000 na kulipiwa gharama za utalii.Mbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Anaongea akili zakeMbunge Musukuma ameshangazwa kuendelea kukutana mitaani na watu walioneza propaganda kuhusu miaka 100 kwenye mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DP World. Musukuma amedai vyombo vya ulinzi na usalama wamekuwa wapole na haiwezekani kwenda kwa namna hiyo bila hatua kuchukuliwa.
Musukuma amesema siku za mbeleni yatakuja mambo makubwa kuliko hayo na yakasumbua. Musukuma amewaasa watu wanaomiliki uchumi wa Tanzania kuungana kwani ndio wanaopata adha bandarini
Akikuonyesha nitag mkuuTuone mkataba mkuu.
We mjinga unamwita Hayati Rais Magufuli muovu ila kwako mtu mwema ni Mbowe Tu sivyo?Magufuli pamoja na maovu yake lakini kwenye kulinda rasilimali za taifa alikuwa imara sn
Mtu anayeua na kuteka, kujeruhi wewe unamuitaje?We mjinga unamwita Hayati Rais Magufuli muovu ila kwako mtu mwema ni Mbowe Tu sivyo?
Tununue teknolojia hii tuendeshe wenyewe!!!View attachment 2651462
DpWorld Jebel Ali Port mizigo haikai hapo ni mwendo wa masaa tu mzigo uko Dukani.
Hatuwezi, hizo machine tutazinunua kwa mara ishirini ya bei halisi Machine mbili tu zitatucost matrilioni ya fedha kuzisafirisha pia tutapiga mara kumi ya bei halisi ya usafirishaji.Tununue teknolojia hii tuendeshe wenyewe!!!
Kumbe umeshapita. ??!!Na huu mswada wa Usalama wa taifa uliopita juzi,jipangeni.
Hili neno hatuwezi mara zote Lina nikera.Hatuwezi, hizo machine tutazinunua kwa mara ishirini ya bei halisi Machine mbili tu zitatucost matrilioni ya fedha kuzisafirisha pia tutapiga mara kumi ya bei halisi ya usafirishaji.
Labda kizazi kijacho nacho ni kujitia moyo tu ,hebu ngoja tuone atakayekuja baada ya CCM.Hili neno hatuwezi mara zote Lina nikera.
===
Njia ya kukwepa kulipa mara ishirini kwanza ni kuwapiga stop watunwa Procurement! Tuandae utaratibu maalumu wa kupata Mashine hizi bila mawaa kwa kutumia sheria zetu ulinzi na usalama wa nchi.
Tayari!Kumbe umeshapita. ??!!
Hapo Umegonga MshonoAtuambie Ni wa miaka mingapi