johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Za Mpesa au,Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ
Which is why hatoweza kufanya hivyoAnakipaka matope CCM au anampaka matope.Mbowe? Au wote wanapakana matope?
You gel ma point ππWhich is why hatoweza kufanya hivyo
Kwani ruzuku ya serikali kwa vyama ni dhambi?Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ
IQ ya think tanker wa CCM ndo ilipogota, anadhani ni kumkomoa Mbowe!Anakipaka matope CCM au anampaka matope.Mbowe? Au wote wanapakana matope?
Mdogo wake chapa ya Jogoo Magomeni Usalama anaelekea kufahamikaMbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ
Azitoe tu.Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ
Hapa wanasema hela zimetoka CCM sio SerikaliniKwani ruzuku ya serikali kwa vyama ni dhambi?
Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ
aachie tu kwani anaficha nini, sasa tulipofikia sema lolote as long as una ushahidi! Ushahidi usio na mashaka! Messages can be fabricated with the advent of modern technology in the communication industry!Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini ππ